Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kitu kinachomake sense zaidi ni Per capita income...
Mfano mzuri ni kati ya SOUTH AFRICA Na NIGERIA

NIGERIA VS S.A. kwanza tu ukiangalia maendeleo interms of infrastructures na mambo mengine yani Nigeria ni chenga tupu lakini ubao unasoma ndio vinara Africa kwa GDP. ....

Kwani hujui hata Morocco tu hamna uwezo wa kuwafikia hata miaka 30 ijayo? Walishasogea sana hao Nigeria yenyewe hawajafikia Morocco

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hiyo per capita income mnatushinda ama hapo pia mnasoma number yetu Kama kawaida?
 
Yeah the same way wametungoja tukiclose the gap btw them..2020 wapo 124bill tupo 109.13 (gap 15b) 2024 watakuwa 161.2 tutakuwa 158( gap 3b)
Kwahyo watakua wanawangoja?
Watu almanusura waandae world cup basi tu figisu kibao...that means wameshasogea mahali hamfiki leo wala kesho. ..
Wanawapiga kila idara wala usijaribu kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_20200227-142604.jpeg
Screenshot_20200227-142937.jpeg
Screenshot_20200227-155536.jpeg
Screenshot_20200227-155542.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom