Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Do you know by 2024 umeme tunawauzia?mirija yote ya wizi tumeshaikata na haitashangaza tukiwa na kinu kimoja cha nuclear...by 2024 nadhani kenya mtakua mkinunua processed foods kutoka Tz mahindi kama mmeshindwa kulima mjiandae kisawasawa...

Hamuwezi kua salama maana kama abiria wengi wa ndege huja Nairobi iyo neema haitakuwepo tena...Kumbuka lengo letu ni kufikia per capital ya $3000 by 2025

Mnaweza kifikia $158b lakini hatutakua apo kwenye below $100b believe me

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tandale siku hzi simuoni ukipost🤣🤣🤣👇👇
Wanaoishi over 70% of Nairobi residents honest
IMG_20200208_152317.jpg
IMG_20200208_152557.jpg
IMG_20200208_152554.jpg
IMG_20200208_152338.jpg
IMG_20200208_152335.jpg
IMG_20200208_152602.jpg
IMG_20200208_152559.jpg
 
Hiyo 80% ni slum,na wewe umejihami kwamba nisi-post slum ...sasa unataka niposti hostel??..
😂 😂 😂 😂 ngoma imekuwa nzito kwako kweli. Siku utakutana na hizi ujinga mnaita dream houses anywhere in Nairobi except slums, please let me know
Screenshot_20200216-004315.png
 
I told you.Uliza IMF mbona wamepea kenya gdp ya 109.13 bill.Yaani saa hii gap ni 42 billion ,2024 tunamchapa 56billion gap .You guys are the ones supposed to asking your selves life questions like wtf are doing .Ghana anamuonyesha vumbi
maendeleo gani mlionao king halali na njaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
My friend ..kenya also has its vision 2030 to have a gdp per capita ya 5000 ..saa hii tupo 2500(factoring in new population data ) so dont think we are not developing . Manufacturing is growing here .Kwanza brace yourselfs soon you will be buying cars assembled and manufacturerd in kenya
Do you know by 2024 umeme tunawauzia?mirija yote ya wizi tumeshaikata na haitashangaza tukiwa na kinu kimoja cha nuclear...by 2024 nadhani kenya mtakua mkinunua processed foods kutoka Tz mahindi kama mmeshindwa kulima mjiandae kisawasawa...

Hamuwezi kua salama maana kama abiria wengi wa ndege huja Nairobi iyo neema haitakuwepo tena...Kumbuka lengo letu ni kufikia per capital ya $3000 by 2025

Mnaweza kifikia $158b lakini hatutakua apo kwenye below $100b believe me

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I told you.Uliza IMF mbona wamepea kenya gdp ya 109.13 bill.Yaani saa hii gap ni 42 billion ,2024 tunamchapa 56billion gap .You guys are the ones supposed to asking your selves life questions like wtf are doing .Ghana anamuonyesha vumbi

Sent using Jamii Forums mobile app
"To asking"

Nani alikudanganya kuwa GDP ni maendeleo???..huko kenya school huwa mnafundishwa nini??!
 
Nairobi hakuna mkenya anaweza kujenga nyumba,mkenya hujenga vibanda ya mabati halafu unataka kufananisha na masikini wa Tanzania,una matatizo ya akili
hatuwezi fanana ndugu hata kwa dawa. Bado nangoja unionyeshe picha kama hii kutoka Nairobi outside slum areas
Screenshot_20200218-010839.png
 
Back
Top Bottom