Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Do you know by 2024 umeme tunawauzia?mirija yote ya wizi tumeshaikata na haitashangaza tukiwa na kinu kimoja cha nuclear...by 2024 nadhani kenya mtakua mkinunua processed foods kutoka Tz mahindi kama mmeshindwa kulima mjiandae kisawasawa...

Hamuwezi kua salama maana kama abiria wengi wa ndege huja Nairobi iyo neema haitakuwepo tena...Kumbuka lengo letu ni kufikia per capital ya $3000 by 2025

Mnaweza kifikia $158b lakini hatutakua apo kwenye below $100b believe me

Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu mujarabu...
 
My friend ..kenya also has its vision 2030 to have a gdp per capita ya 5000 ..saa hii tupo 2500(factoring in new population data ) so dont think we are not developing . Manufacturing is growing here .Kwanza brace yourselfs soon you will be buying cars assembled and manufacturerd in kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
How big is your pop? $2500 imefika me Bluetooth ama?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
My friend ..kenya also has its vision 2030 to have a gdp per capita ya 5000 ..saa hii tupo 2500(factoring in new population data ) so dont think we are not developing . Manufacturing is growing here .Kwanza brace yourselfs soon you will be buying cars assembled and manufacturerd in kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
funny never end..
 
Ubongo wangu uko fine ..how are your 1000 IQ points helping you.Mkiambiwa simple facts and numbers mnarukatuka like mad people

Sent using Jamii Forums mobile app
Number kitu gani dogo..watu wa leo tunadeal na real things on the ground,sio rankings..kama ingekuwa namba ni kitu muhimu,you guys mngepata kitu bora zaidi ya ile chember ya moshi the so-called SGR
 
Hio ni slum kwa akili yako hvi hzo nyumba unaeza fananisha na slum za kuzimu 🤣🤣🤣💉💉
Such houses and confused planning are only found in Nairobi slums. Outside slum areas huwezi kutana na nyumba kama hizo hata huende hadi wapi. So to me they are just slums ila kwako najua ni dream houses 😂 😂 😂
 
109.13 billion ..mark that .If gdp was not important haingekuwa inatumiwa kurank nations why is it used then

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu kinachomake sense zaidi ni Per capita income...
Mfano mzuri ni kati ya SOUTH AFRICA Na NIGERIA

NIGERIA VS S.A. kwanza tu ukiangalia maendeleo interms of infrastructures na mambo mengine yani Nigeria ni chenga tupu lakini ubao unasoma ndio vinara Africa kwa GDP. ....

Kwani hujui hata Morocco tu hamna uwezo wa kuwafikia hata miaka 30 ijayo? Walishasogea sana hao Nigeria yenyewe hawajafikia Morocco

Sent using Jamii Forums mobile app
 
is that kibera 😂 😂 😂 😂View attachment 1370406
Screenshot_20200131-232935_Earth.jpg
 
Hiyo chamber moshi inabeba goods and people .and thats all we need .Easy trasportation of goods and services.
Number kitu gani dogo..watu wa leo tunadeal na real things on the ground,sio rankings..kama ingekuwa namba ni kitu muhimu,you guys mngepata kitu bora zaidi ya ile chember ya moshi the so-called SGR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom