Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kweli mja hawachi kuelemika.Mimi sijajua mtz akiwa mtu wa matusi,kujipiga kifua na kujigamba.Shida zetuKenya haziwezi kutupatia nafasi ya kujichocha.
uko serious unajudge mtz kwa kupitia battle ya jf narudia soma uzi mwanzo mwisho wakenya wana matusi,wanajigamba na ni wapiga kifua hapa jukwaani sasa na nyie tukiwa judge kuwa mkenya ni mtu wa matusi utachukuliaje io judgment ambayo nimeitoa kisa jf

arusha wakenya wapo wengi wana miliki mpaka tuit ndogo ndogo kuna mwingine anakuambia arusha ni nzury na kaipenda yeye kama yeye kuliko hata dar na nai

ni ivi kwa ground vitu n tofauti sana wakenya na tz hata mtaani tunaishi kama tz wote ukitoa uongeaji wa kiswahili chenu ukinikuta mm na mkenya mtaani hutajua we are just very good on each hii n battle tu nothing personal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walikimbia eh?Kwa sababu ya matusi?Boss ukinitusi unafikiri nitatotoroka?Kwanza mimi huwa situsi watu.unanipea facts na reasoned arguments nitakuheshimu(lakini sitakuogopa).Lakini eti unitusi nikimbie....unafikiri ni matusi mangapi nimeyasikia?Ukiangalia hii battle (kwanza ni battle ya nini?) nimeuliza hizi hoja watu wanatoa,zina manufaa gani?Hakuna mtu ambaye amenijibu.Nimeambiwa tu hoo wakenya ni wajuaji,ho sijui wanajifanya hooo sijui .na wale watz wananiambia wananitusi na kujigamba tuuu.Katika hii website ya jf kusema ukweli sijaona discussion ya kuvunja moyo kaa hii...

So boss kama unanuia kunitukana au kunikejeli mpaka nitoroke..umeambulia patupu.Keyboard warriors and online bullies nimeona wengi,matusi nimesikia ya lugha zote,emoji nimeona ya aina zote..na majibu yangu napenda kuongea kama mtu mzima..bila kutukanana au kukosea watu heshima,Matusi na kuongea uchafu hiyo nachukua kama ni aina ya ugonjwa.Na mtu mgonjwa yuataka tu huruma na maombi.so mkuu usinipatie vitisho..
mkuu ulivouliza na the way ulivokuja umekuja kijuaji au ki professional mno ila maswali yako yote uliyonayo n mepesi tu me n viewer mzury wa huu uzi na nlijiunga jf for 1st time kwa ajili ya huu uzi ukitulia na ukiacha ujuaji uliza tena maswali yako

uliza kutaka kugain na kujua vipya usiulize ukiwa umeshajiwekea majibu kichwani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa watu wananiambia naongea vibaya na eti hii discussion ina manufaa..Sasa hawa majamaa wawili wakiafrika wanatukanana kwa sababu ya urefu ya milima.Kwani utoto ni nini?Na siulizi kwa ubaya..Milima itafanya waafrika wawili wakoseane heshima namna hii jameni?Milima iliyowekwa duniani na Mola wetu tuwe tunaitazama na kufurahia kazi ya mikono yake?Huu ubaradhuli wote ni wa nini?
dah mkuu uko too serious tofautisha mtandao na uhalisia


Sent using Jamii Forums mobile app
 
swala la aesthetic Kunyaland mpo nyuma sana!
Did you say aesthetic? Of course nyinyi mko mbele sana kwenye hilo swala. Nyani haoni kundule
Screenshot_20200216-004315.png
Screenshot_20200218-010839.png
PhotoGrid_1580034233462.jpg
PhotoGrid_1579606757759.jpg
PhotoGrid_1579606810995.jpg
 
mkuu ulivouliza na the way ulivokuja umekuja kijuaji au ki professional mno ila maswali yako yote uliyonayo n mepesi tu me n viewer mzury wa huu uzi na nlijiunga jf for 1st time kwa ajili ya huu uzi ukitulia na ukiacha ujuaji uliza tena maswali yako

uliza kutaka kugain na kujua vipya usiulize ukiwa umeshajiwekea majibu kichwani

Sent using Jamii Forums mobile app
OK boss. Bado hujajibu swali.umeniita tu mjuaji.kwa unyenyekevu naomba tu kujibiwa
 
Eti "nje ya slums"..I like your mechanism of defending
Am not defending anything, I am just telling you the bitter truth. Truth that you don't want to swallow. Nairobi has slums and that's a fact. But the truth is that ukishatoka nje ya hizo slums huwezi kutana na ujinga kama hizi (the pic below) ambazo ziko kila mahali Dar. Hata huende hadi wapi huwezi ona hizi takataka Nairobi kama sio ndani ya slums
Screenshot_20190801-183601.png
Screenshot_20190801-183645.png
 
Back
Top Bottom