Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna anayecheka matatizo ya Kenya humu ila nyie ndio huwa mna tabia ya kuzidharau nchi zingine za Africa na kujifanya eti mmezidi nchi za Africa wakati hata unaweza kuta raia wa Burundi ana maisha mazuri tu kuliko wewe hapo,
Wakenya wengi wana uwezo mdogo wa kufikiri na huwa tunajionea humu,
Wewe utakuwa mgeni humu au huwa huoni ujinga wa wakenya wenzako,
Wakenya gani hawajui news za Tz?
Sio Kenya tu... Nafahamu news za nchi zote za hapa EA 😂😂😂 Hivi unafahamu wakenya wengi sasa hivi Wanataka wapate rais kama JPM,
Kazi yenu kujisifu sijui mko na uchumi mkubwa wakati mmezidiwa sana vitu vingi vya msingi na Tz mfano huduma bora za afya, huduma ya maji Safi ( tumevuta maji kutoka ziwa Victoria hadi mikoani wakati hapo Kenya imeshindikana pia miradi mingi mikubwa inaendelea)
Tuna chakula cha kutosha,
Hapo Kenya miradi mingi na mikubwa ya umwagiliaji mumeifisadi,
Simchukii mkenya yoyote bali nachukia tabia zao za kijinga
Nina marafiki wengi tu wakikenya,
Wewe ni kati ya wakenya walioko brainwashed kijinga kama wenzako tu,
Kila nchi mliyopakana nayo lazima tu mkwaruzane kijinga.
auuuiii boss...here we go again...yaani hujasoma posts zangu..na ujifunze maana ya emoji maanake ni kama hujui....hakuna mahali nimesema uchumi wa kenya uko juu,hakuna mahali nimesema kuna kitu ya kenya imeshinda ya tz....hii ni kwa sababu itakuwa discussion ya UTOTO.Mimi nimeshinda nikrudia vile kenya kuna tuko na mashida mengi.tuko na ufisadi,ukabila,na mashida zingine chungu nzima.hakuna siku utaskia nikjigamba about anything in kenya.because as i said,me am one realistic kenyan.i know we are a third world country grappling with a million problems.na hao wakenya mnasema wanapenda kujigamba..nionyeshe mmoja nitamzima kama candle..

HOWEVER,am amused to see watu wa tz wakijigamba vile wako na hii na hii na hii.halafu wanadai wakenya tunajigamba....NA ZILE VITU WANATAJA NI MALI YA MABWENYENYE

NA UNADAI TUNAKWARUZANA NA MAJIRANI?hakuna thread kama hii unaweza kuona wakenya wakiendeleza na waug ama warwanda ama wasudan na waethiopia..hakuna.
watz ndio wanaona eti sasa waanze malumbano kama haya..HUU NI UTOTO BOSS...WE do not feel THREATENED BY ANYBODY,DESPITE ALL OUR PROBLEMS.HIYO INAITWA CONFIDENCE BOSS.TUKO NA MASHIDA NA TUTASURVIVE TU.HATA MKICHEKA AU MLIE NA MAEMOJI MILIONI MOJA TUKO STRONG SANA


eti president wa tz tutake awe prezzo hapa kenya......hah hahahahahaha...wacha tu
FINAL MESSAGE..TUKO THIRD WORLD,TUNYENYEKEE,TUWACHE KUJIPIGA VIFUA BILA SABABU,TUWACHE KUOMBEA MAJIRANI WAPATE SHIDA NA MUNGU ATATUBARIKI!!!
 
auuuiii boss...here we go again...yaani hujasoma posts zangu..na ujifunze maana ya emoji maanake ni kama hujui....hakuna mahali nimesema uchumi wa kenya uko juu,hakuna mahali nimesema kuna kitu ya kenya imeshinda ya tz....hii ni kwa sababu itakuwa discussion ya UTOTO.Mimi nimeshinda nikrudia vile kenya kuna tuko na mashida mengi.tuko na ufisadi,ukabila,na mashida zingine chungu nzima.hakuna siku utaskia nikjigamba about anything in kenya.because as i said,me am one realistic kenyan.i know we are a third world country grappling with a million problems.na hao wakenya mnasema wanapenda kujigamba..nionyeshe mmoja nitamzima kama candle..

HOWEVER,am amused to see watu wa tz wakijigamba vile wako na hii na hii na hii.halafu wanadai wakenya tunajigamba....NA ZILE VITU WANATAJA NI MALI YA MABWENYENYE

NA UNADAI TUNAKWARUZANA NA MAJIRANI?hakuna thread kama hii unaweza kuona wakenya wakiendeleza na waug ama warwanda ama wasudan na waethiopia..hakuna.
watz ndio wanaona eti sasa waanze malumbano kama haya..HUU NI UTOTO BOSS...WE do not feel THREATENED BY ANYBODY,DESPITE ALL OUR PROBLEMS.HIYO INAITWA CONFIDENCE BOSS.TUKO NA MASHIDA NA TUTASURVIVE TU.HATA MKICHEKA AU MLIE NA MAEMOJI MILIONI MOJA TUKO STRONG SANA


eti president wa tz tutake awe prezzo hapa kenya......hah hahahahahaha...wacha tu
FINAL MESSAGE..TUKO THIRD WORLD,TUNYENYEKEE,TUWACHE KUJIPIGA VIFUA BILA SABABU,TUWACHE KUOMBEA MAJIRANI WAPATE SHIDA NA MUNGU ATATUBARIKI!!!
Unafahamu matumizi ya alama za mkato na koma?
Yaani mkichokoza nchi zingine halafu mkijibiwa mnalalamika kuonewa 😂😂😂
Angalia nyuzi zote zilizipo kwenye hili jukwaa uone makucha ya wakenya wenzako.
 
Hakuna anayecheka matatizo ya Kenya humu ila nyie ndio huwa mna tabia ya kuzidharau nchi zingine za Africa na kujifanya eti mmezidi nchi za Africa wakati hata unaweza kuta raia wa Burundi ana maisha mazuri tu kuliko wewe hapo,
Wakenya wengi wana uwezo mdogo wa kufikiri na huwa tunajionea humu,
Wewe utakuwa mgeni humu au huwa huoni ujinga wa wakenya wenzako,
Wakenya gani hawajui news za Tz?
Sio Kenya tu... Nafahamu news za nchi zote za hapa EA [emoji23][emoji23][emoji23] Hivi unafahamu wakenya wengi sasa hivi Wanataka wapate rais kama JPM,
Kazi yenu kujisifu sijui mko na uchumi mkubwa wakati mmezidiwa sana vitu vingi vya msingi na Tz mfano huduma bora za afya, huduma ya maji Safi ( tumevuta maji kutoka ziwa Victoria hadi mikoani wakati hapo Kenya imeshindikana pia miradi mingi mikubwa inaendelea)
Tuna chakula cha kutosha,
Hapo Kenya miradi mingi na mikubwa ya umwagiliaji mumeifisadi,
Simchukii mkenya yoyote bali nachukia tabia zao za kijinga
Nina marafiki wengi tu wakikenya,
Wewe ni kati ya wakenya walioko brainwashed kijinga kama wenzako tu,
Kila nchi mliyopakana nayo lazima tu mkwaruzane kijinga.
Af hyo tabia ya kusema eti nyinyi mnajua habari zetu lkn sisi hatujui habari zenu huo upumbavu wakenya wanao sn yn wanaona sifa kuongea upuuzi km huo, nchi zinasomesha watu kwa gharama kubwa ili waje kuwa wapelelezi, moja ya siri kubwa iliyofanya developed countries kuwa hapo walipo ni wao kujua mambo yetu ilihali sisi hatukujua mambo yao sasa huo upumbavu wa kusema nyinyi mnajua mambo yetu sisi hatujui yenu ni uzwazwa wa kiwango cha lami, anyways we Tanzanians are very curious and that's why we know each and everything about kenya while you kenyans don't know about us very interesting.
 
Af hyo tabia ya kusema eti nyinyi mnajua habari zetu lkn sisi hatujui habari zenu huo upumbavu wakenya wanao sn yn wanaona sifa kuongea upuuzi km huo, nchi zinasomesha watu kwa gharama kubwa ili waje kuwa wapelelezi, moja ya siri kubwa iliyofanya developed countries kuwa hapo walipo ni wao kujua mambo yetu ilihali sisi hatukujua mambo yao sasa huo upumbavu wa kusema nyinyi mnajua mambo yetu sisi hatujui yenu ni uzwazwa wa kiwango cha lami, anyways we Tanzanians are very curious and that's why we know each and everything about kenya while you kenyans don't know about us very interesting.
Na hiyo kutojua news za nchi zingine hapa EA ndio kunawafanya waendelee kudanganyana na kuficha vichwa vyao kwenye mchanga,
Halafu si huwa wanasema watanzania hawa fahamu kingereza 😂😂😂 sasa news zao tumezijuaje?
 
Unafahamu matumizi ya alama za mkato na koma?
Yaani mkichokoza nchi zingine halafu mkijibiwa mnalalamika kuonewa 😂😂😂
Angalia nyuzi zote zilizipo kwenye hili jukwaa uone makucha ya wakenya wenzako.
Sawa boss nitaangalia alama za mkato kutoka sasa.Unaona kunyenyekea?Ni vile natype haraka.Nani alichokoza?Huyo mkenya mchokozi ashindwe!!!Na sisi huwa hatulalamiki.Mkenya ni mtu ambaye huwa anasimama imara .Boss, nakwambia huu uzi wakenya wengi hawawezi kuufurahia.Tz ni majirani wetu so haina ile ladha.
 
Sawa boss nitaangalia alama za mkato kutoka sasa.Unaona kunyenyekea?Ni vile natype haraka.Nani alichokoza?Huyo mkenya mchokozi ashindwe!!!Na sisi huwa hatulalamiki.Mkenya ni mtu ambaye huwa anasimama imara .Boss, nakwambia huu uzi wakenya wengi hawawezi kuufurahia.Tz ni majirani wetu so haina ile ladha.
Sina tatizo wala chuki kwa wakenya na ndio maana nina marafiki wengi tu kutoka huko.
 
Don't reason like someone who never went to school. Mt. Kilimanjaro and Mt. Kenya are both 5,000m and they are the tallest and second tallest in the continent respectively
Sasa hapo wewe umejitetea nini

Unadhani hiyo Mt. Kenya ndo mrefu kuliko au kwa maana naona bado unashindana na ukweli ni kheri unyamaze ufunge domo lako linalotoa harufu ya chooni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hiyo kutojua news za nchi zingine hapa EA ndio kunawafanya waendelee kudanganyana na kuficha vichwa vyao kwenye mchanga,
Halafu si huwa wanasema watanzania hawa fahamu kingereza 😂😂😂 sasa news zao tumezijuaje?
Sio hivyo boss.Ni vile mkenya ako na shida zake anajaribu kutatua.Na kenya huwa tunasema shida zetu haraka haraka.Kamwe hatufichi vichwa kwa mchanga.Na ndio hatucheki shida za wengine.uUkisoma huu uzi utaona vile kenya kuna nzige,kuna slums,kuna njaa.Lakini tz kuna mabarabara,airport kubwa,rais mwerevu,madini,gas bla bla.Yaani tz ni kama first world.tunakubali...na kutingisha vichwa..

Mimi nasema kenya tunakubali watu wote east africa bila kuona kama ni threat.Na hayo mambo ya kizungu yapo.Lakini sisi wakenya pia tungependa kujua kiswahili zaidi.So,yote ni mizani ya Mungu.
 
Sawa boss nitaangalia alama za mkato kutoka sasa.Unaona kunyenyekea?Ni vile natype haraka.Nani alichokoza?Huyo mkenya mchokozi ashindwe!!!Na sisi huwa hatulalamiki.Mkenya ni mtu ambaye huwa anasimama imara .Boss, nakwambia huu uzi wakenya wengi hawawezi kuufurahia.Tz ni majirani wetu so haina ile ladha.
Wakenya hawawezi kufurahia huu uzi ndio maana umewa prove wrong! Umewavua nguo...umewaonesha na ujuaji wenu wote kumbe hamjui. Kama jinsi unavyo play game ya sympathy hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa boss nitaangalia alama za mkato kutoka sasa.Unaona kunyenyekea?Ni vile natype haraka.Nani alichokoza?Huyo mkenya mchokozi ashindwe!!!Na sisi huwa hatulalamiki.Mkenya ni mtu ambaye huwa anasimama imara .Boss, nakwambia huu uzi wakenya wengi hawawezi kuufurahia.Tz ni majirani wetu so haina ile ladha.
mkuu haya ni kama tu majigambo baada ya mambo mengi ili kurelaxe haiko serious kama unavoeka hakuna mtu mwenye chuki na wakenya wala nn hata ndugu huwa wanatabia ya kuoneshana ubabe ila haimanishi negative kiasi icho nazani tz na ke ni wako closer kuliko majirani zao wowote ivo hapa ni kama tu malumbano au majigambo na viewer tuna enjoy tunavofatilia alafu usipende kutumia third world countries maana hamna kitu kama icho izo ni rejesta za nchi zinazoendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Af hyo tabia ya kusema eti nyinyi mnajua habari zetu lkn sisi hatujui habari zenu huo upumbavu wakenya wanao sn yn wanaona sifa kuongea upuuzi km huo, nchi zinasomesha watu kwa gharama kubwa ili waje kuwa wapelelezi, moja ya siri kubwa iliyofanya developed countries kuwa hapo walipo ni wao kujua mambo yetu ilihali sisi hatukujua mambo yao sasa huo upumbavu wa kusema nyinyi mnajua mambo yetu sisi hatujui yenu ni uzwazwa wa kiwango cha lami, anyways we Tanzanians are very curious and that's why we know each and everything about kenya while you kenyans don't know about us very interesting.
Katika huu uzi nimesoma wakenya ni wajuaji,wanajigamba sijui wana nini..,Lakini mtu wa tz akianza kupost kitu cha kwanza kinachoonekana ni kiburi na matusi.Hii inashangaza sana.Wakenya hawajui news za tz kwa sababu wako third world na kwa hivyo wanang'ang'ana na shida za maisha.Sio arrogance ama upumbavu.Sasa wewe unanisomea mambo za first world..Mimi Kenya bado niko third world pengine ndio sijui.Sikujua tz ni first world..haya nimejua leo.So there is nothing interesting about it.Kwa ufupi---we are so engrossed in our own problems that the mundane happenings in our neighbor countries just pass us by.Sorry for that sir.
 
Wakenya hawawezi kufurahia huu uzi ndio maana umewa prove wrong! Umewavua nguo...umewaonesha na ujuaji wenu wote kumbe hamjui. Kama jinsi unavyo play game ya sympathy hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
UMENOA.WAKENYA HAWAWEZI KUFURAHIA UZI MAANA HAWAONI FAIDA YA MAJIGAMBO NA KULUMBANA NA JIRANI.NA KAMA HATUJUI NA NYINYI MNAJUA BASI MUNGU AMEWABARIKI SANA.
GAME YA SYMPATHY?EXCUSE ME.WE CAN COMPETE ON MANY FRONTS IN THIS WORLD.DO NOT SYMPATHIZE WITH ANY KENYAN.WANAJIWEZA SANA.
 
Udaktari hauna jukwaa, wakati ama Mahali .wagonjwa wako kila mahali.kutukanana kwa mtandao ni dalili ya ugonjwa wa akili(ni aina ya cyberbullying).inaashiria kuwa mtu ako na mental issues kama stress, low selfesteem na zinginezo. kila baada ya kutoa matusi,ni vizuri kunywa glasi nne za maji,relax, kisha ulale 2 hours. Ukiendelea hivyo miezi miwili uchafu utakuwa umeisha kichwani.Next patient.....
Anko kapumzike tuu.. Achana na huu Uzi au hujaona ulikotokea huu Uzi???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Slums everywhere Kuna wenzako wamekaa hapa kuonesha estates ambazo hata hazikaliwi na 1% ya wakenya badala ya kutuonesha slums zilizotapakaa Nairobi yote

View attachment 1368203
Yap..Guilty as charged.Nairobi kuna slums.Tunajua hata bila kuingia wikipedia.Sio siri mkuu.Kenya ni 3rd world(nimeelezwa niseme developing country).So what is your point?
 
UMENOA.WAKENYA HAWAWEZI KUFURAHIA UZI MAANA HAWAONI FAIDA YA MAJIGAMBO NA KULUMBANA NA JIRANI.NA KAMA HATUJUI NA NYINYI MNAJUA BASI MUNGU AMEWABARIKI SANA.
GAME YA SYMPATHY?EXCUSE ME.WE CAN COMPETE ON MANY FRONTS IN THIS WORLD.DO NOT SYMPATHIZE WITH ANY KENYAN.WANAJIWEZA SANA.
Hapa hatufanyi majigambo wala kulumbana. Tunaonesha what is happening on the ground. Kama Nyinyi mko hapa kujichocha na kujilisha upepo Poleni.

Halafu, kabla ya kufika kumi lazima uanze moja kwanza. Na kesho yake inakuwa determined na Leo. Hivyo tuko dunia ya tatu Kama Unavyosema ila tunaendelea! Maendeleo ya kweli ni kuiona Leo yako na mazingira yanayokuzunguka kuweza kuyabadilisha katika njia chanya. That's what we are doing. Hatuwezi jilinganisha na US maana hata wao walianzia chini Kama sisi ndio wakafikia hapo walipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa hatufanyi majigambo wala kulumbana. Tunaonesha what is happening on the ground. Kama Nyinyi mko hapa kujichocha na kujilisha upepo Poleni.

Halafu, kabla ya kufika kumi lazima uanze moja kwanza. Na kesho yake inakuwa determined na Leo. Hivyo tuko dunia ya tatu Kama Unavyosema ila tunaendelea! Maendeleo ya kweli ni kuiona Leo yako na mazingira yanayokuzunguka kuweza kuyabadilisha katika njia chanya. That's what we are doing. Hatuwezi jilinganisha na US maana hata wao walianzia chini Kama sisi ndio wakafikia hapo walipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mja hawachi kuelemika.Mimi sijajua mtz akiwa mtu wa matusi,kujipiga kifua na kujigamba.Shida zetuKenya haziwezi kutupatia nafasi ya kujichocha.
 
Back
Top Bottom