Narudia tena, Adui wa mkenya ni mkenya mwenzake trust me,
Wakenya wengi wasio na vibali wapo Tanzania ukitaka bisha tu,
Nenda naira land uone namna wakenya wenzako wanavyopewa kichapo mule Yaani mnakula kichapo huku na kule tena mnakula kichapo,
County nzima ya Taita Taveta huvuka boda kutafuta huduma bora za afya Tanzania,
Mnapigana kisa makabila karne hii huo si ujinga,
Mnaenda chooni kwa hisani ya wazungu, waarabu, warusi, wamarekani na Wachina,,
Kwenye kuwauzia chakula tuna soko kubwa sana kwenye nchi za SADC na ndio maana mwaka jana mlikuja kutuomba tuwauzie mahindi,
Hamna shida na nzige wakati hadi Muda huu counties kumi na tisa tayari zimeshapitiwa na serikali yenu imebaki kusema eti nzige wameshazeeka kwa hiyo hawatoharibu tena mazao,
Huoni mkikosa chakula sehemu pekee yenye uhakika wenu wa kupata chakula ni Tanzania au mtaenda kununua yale ya GMO yanayowaharibu akili wakenya,
Wakenya wenzako wakichokoza wala huoni ila wakijibiwa eti ndio unaona 😂😂😂