Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Picha ni nzuri ila tatizo hao watu watatu wanaishi kwa slum za kibera

Sent using Jamii Forums mobile app
kaka nilitaka nipite kimya kimya nibaki nayo moyoni kuhusu hizo members za kibera Ila wacha nitoe neno tu kuhusu huyo engender wao wa kuzibua mitaro mitaani aliyetupia suti kubwa na kofia yake ya kuwindia farasi......nimecheka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I thought you said you won't engage me, what changed your mind?

Sent using Jamii Forums mobile app
The white Lion, only in Tz

Screenshot_2020-02-22-00-26-13.jpeg
 
Tunataka mupate density ya maana kwanza alafu kurudi humu kushindana😁😁😁😁😁

Slums zinatoka wap kama kuna good planning au zilishushwa kutoka mbinguni
Hatuwezi fanana ndugu hata kwa dawa. Huwezi kutana na huo uchafu hapa Nairobi ukishatoka nje ya slums ila Dar yenu 70% inafanana hivyo. Msilszimishe tufanane tafadhali
 
Hivi kenya naye anamlima mrefu kama mt Kilimanjaro the pride of Tanzania
Don't reason like someone who never went to school. Mt. Kilimanjaro and Mt. Kenya are both 5,000m and they are the tallest and second tallest in the continent respectively
 
Back
Top Bottom