Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

LOL ndio maana mimi nawaona hawa mburukenge ni washamba sana utafikiri wametoka bush juzi so anything in the town is amusing

Hivi mtu mwenye akili kweli na exposure anaweza kufikiri kwamba Tanzania Hakuna standard casinos na karts?

Hizo karts kwa Kenya inawezekana ipo Nairobi tu lakini Tanzania zipo za kumwaga

Hahaha eti mpaka na bike racing anaturingishia watanzania
Jamaa wanavituko sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale polisi wa kenya hawana tofauti na majambazi

Sent using Jamii Forums mobile app

Yaani ukitaka ujue kenya hovyo angalia wakenya walivyojaa Tanzania alafu wanajiita wakurya au wajaruo wa Mara. Wengine wamezamia zanzibar sana wengine mashule mengi wamejaa wakenya hasa international schools.

Kama kenya kungekuwa safi raia wao wangelaa hukohuko.
Sio kwa ubaya kuja kwetu lakini ukiona jirani yako kutwa yupo nyumbani kwako ujue kwake kuna shida.

Ile moral love ya Tanzania tuliyokuwa nayo sasa inayeyuka kwasababu ya hawa wavamizi.

Alafu kuna mtu anafananisha kenya na Tanzania kweli!!!!!!!
 
Kando ya pspf mama ntilie na Chipsi mayai.
images (12).jpeg

Mji umepangiliwa kiholela tu
 
Please give the name of this place... I would like to search it myself.

Road names: Ohio street, Bibi titi Mohamed and Ali hassan mwinyi roads.
Buildings: NMB HQ, Uhuru Heights and parts of Viva tower. Peugeot House


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom