Baada ya uwezo wa Teargas kutrust macho yake ulipoishia.
View attachment 1363666
View attachment 1363667
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ila wakenya kuna kitu wamejifunza kuhusu Tz tofauti na walivyokuwa wakidhaniAre we together vipi huko wakina collo mzii munaniskia
Mwandiko wako tu unaonesha ushakubali sema unaficha aibu tuThere is nothing new there, I counted everything and the result was 37.
Sent using Jamii Forums mobile app


jamani watanzania tumkubalie huyu jamaa kwn dole gumba lake limeshapoteza ushirikianoJust give us the meaning of the word CBD and why does Kijitonyama not qualify to be called a CBD
You can't force the invisible to be visible.Mwandiko wako tu unaonesha ushakubali sema unaficha aibu tujamani watanzania tumkubalie huyu jamaa kwn dole gumba lake limeshapoteza ushirikiano
Kwn we haunaga picha zngne zaidi ya west
Hapo ulipomark pana 3 floorsAngalia ulipoanza kuhesabu we mtiwa grasi af angalia gepu uliloliachaView attachment 1363711View attachment 1363714
Kuhusu Urban Transport, Good streets with pedestrian sidewalks and marking . Mtasubiri sana . Kuna picha za Thika highway watu wanapita popote utafikiri na wao wana matairi.
View attachment 1363421
View attachment 1363422
View attachment 1363423
View attachment 1363425
Sent from my iPhone using JamiiForums
Macho ya chang'aa sion asvptx Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 ?There is nothing new there, I counted everything and the result was 37.
Sent using Jamii Forums mobile app
Boss , Nilikua busy nakula Bata.
Picha zooote ulizopost ni vi close up kadhaa zingine hazionyeshi hata Alama za barabarani wala Huwezi jua ni urefu gani.
Unajua maana ya Democracy on the Roads ?
Barabara nyingi za Dar ni Pedestrian and Cyclists friendly.
Kumbuka Barbara zote zilizopitiwa na BRT zimezingatia Pedestrians na cyclists , niliona picha mnasherehekea mjapani alivyowawekea bike lanes moja kwenye barabara yenu mpya.
Imagine The Whole Nyerere road kutoka terminal One , Morogoro road, Msimbazi street , Kawawa Road zote ni Cyclists and pedestrian friendly. Hamjui kwamba tumejifunza maeneo mengi ndio tukafanya hivyo? ( Transmillenio in Bogota, Dallas rapid transit , India Etc)
Barabara nyingi za Town ni well marked sio hizo zenu typical broken sidewalks of African cities .
See from Above .
Ohio, ali hassan Mwinyi and Bibi titi Mhd street
View attachment 1363358
View attachment 1363361
Kivukoni street
View attachment 1363362
View attachment 1363363
View attachment 1363364
View attachment 1363366
Lumumba, Uhuru junction
View attachment 1363368
View attachment 1363373
View attachment 1363375
Msimbazi street
View attachment 1363377
Halafu mbona unaaga? Wanazima Wi-Fi au umemeJ/K
View attachment 1363380
View attachment 1363382
View attachment 1363383
See picha nilizopost zinaonyesha hata urefu wa km kadhaa . We umepoat tu fremu za maduka
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sisi ni hatari zaidi kwenye miundombinu ya barabara, reli, umeme, meli, madaraja, ujenzi, utalii nk kuliko majengo. Kote humo tumewakimbiza km unabsha leta ushahidi wwte kwmb mnaizd Tz kwny hizo sekta nlizokutajia af uone ntakavyokuaibisha.See who is talking, nyinyi in every ten posts a Tanzanian make 7 of them must be the blue towers.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo umetoa mdomoni leta the actual meaning of CBD mbn unaogopa
Sisi ni hatari zaidi kwenye miundombinu ya barabara, reli, umeme, meli, madaraja, ujenzi, utalii nk kuliko majengo. Kote humo tumewakimbiza km unabsha leta ushahidi wwte kwmb mnaizd Tz kwny hizo sekta nlizokutajia af uone ntakavyokuaibisha.
Hizo umetoa mdomoni leta the actual meaning of CBD mbn unaogopa

what about ship building technologyKuna mtu anataka picha za streets zisizo na barabara...hehehe.....ingia nyumbani kwako kibera utakuta zipo za aina hiyo huko






Kuna mtu anataka picha za streets zisizo na barabara...hehehe.....ingia nyumbani kwako kibera utakuta zipo za aina hiyo huko