Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya is blessed........our enemies are working hard to bring us down but we continue souring higher and higher
pr_2004_f1_en.gif


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe na chuki pamoja na wivu hamjaachana sana.
Mnachofanyiwa na jubilee hadi aibu,
Nusu ya miradi hapo kenya imekwama,
Usafirishaji wa mafuta kutoka turkana unasua sua kutokana na miundombinu mibovu,
Serikali yenu imesitisha kuajiri,
Barabara zina mashimo ya kutosha,
Bado tena kipindu pindu kinawachapa kutokana na uchafu mko namba 3 kwa nchi zenye kiwango kikubwa cha cholera outbreak,
Mumeifisadi miradi mikubwa ya umwagiliaji,
Bila kusahau kenya Republic of China,
Na wala huoni 😂😂😂
Uzuri ni kwamba takwimu zote umetoa kwenye hiyo kichwa chako kubwa
 
Uzuri ni kwamba takwimu zote umetoa kwenye hiyo kichwa chako kubwa
Uzuri ni kwamba unafahamika kwa kupenda kupingana na ukweli,
Naona ripoti mpya ya IMF kuhusu miradi ya kenya kukwama hujaiona 😂😂😂
Naona pia hujasikia kinachoendelea kuhusu Usafirishaji wa mafuta kutoka turkana.
 
Kenya is blessed........our enemies are working hard to bring us down but we continue souring higher and higherView attachment 1327404

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama bado mnapokea grants, misaada ya chakula, hali mbaya ya maisha kuzidi hata ldc countries, ukuaji mkubwa wa wananchi wanaoishi kwenye mazingira mabovu, miradi kukwama kutokana na ukosefu wa pesa, ukosefu wa maji safi na salama, huduma mbovu za kijamii, high rate of unemployment, embu niambie huo uchumi uko wapi 😂😂😂
 
We r close to graduate from ldc status,
When we cross per capital of $1230
Currently our per capital income is $1100

And we are not your enemy,we share a lots not only border ,don't you get it twisted

Sent using Jamii Forums mobile app
I thought you graduated! Ama ile ilikuwa tu ni wimbo wa sisiemu kuwapumbaza kama ilivyo kawaida?
 
Back
Top Bottom