Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,389
Thika ile iliyopauka 🤣🤣🤣🤣Kujeni nairobi mpige trip hadi thika before mfananishe hii takataka na The Nairobi
Sent using Jamii Forums mobile app
Thika ile iliyopauka 🤣🤣🤣🤣Kujeni nairobi mpige trip hadi thika before mfananishe hii takataka na The Nairobi
Sent using Jamii Forums mobile app
Thika ile iliyopauka
Uzuri ni kwamba takwimu zote umetoa kwenye hiyo kichwa chako kubwaWewe na chuki pamoja na wivu hamjaachana sana.
Mnachofanyiwa na jubilee hadi aibu,
Nusu ya miradi hapo kenya imekwama,
Usafirishaji wa mafuta kutoka turkana unasua sua kutokana na miundombinu mibovu,
Serikali yenu imesitisha kuajiri,
Barabara zina mashimo ya kutosha,
Bado tena kipindu pindu kinawachapa kutokana na uchafu mko namba 3 kwa nchi zenye kiwango kikubwa cha cholera outbreak,
Mumeifisadi miradi mikubwa ya umwagiliaji,
Bila kusahau kenya Republic of China,
Na wala huoni 😂😂😂
Hatari: 50% ya miradi ya Kenya imekwama - IMF
Wakuu, Hivi middle income wamekwama wapi? Nchi tajiri mnatia aibu sana!www.jamiiforums.com
The 50km Jewel. Mwakani bado wenzetu??
View attachment 1327470
View attachment 1327463
View attachment 1327464
View attachment 1327466
View attachment 1327467
Uzuri ni kwamba unafahamika kwa kupenda kupingana na ukweli,Uzuri ni kwamba takwimu zote umetoa kwenye hiyo kichwa chako kubwa
Kama bado mnapokea grants, misaada ya chakula, hali mbaya ya maisha kuzidi hata ldc countries, ukuaji mkubwa wa wananchi wanaoishi kwenye mazingira mabovu, miradi kukwama kutokana na ukosefu wa pesa, ukosefu wa maji safi na salama, huduma mbovu za kijamii, high rate of unemployment, embu niambie huo uchumi uko wapi 😂😂😂Kenya is blessed........our enemies are working hard to bring us down but we continue souring higher and higherView attachment 1327404
Sent using Jamii Forums mobile app
We r close to graduate from ldc status,Kenya is blessed........our enemies are working hard to bring us down but we continue souring higher and higherView attachment 1327404
Sent using Jamii Forums mobile app
The 50km Jewel. Mwakani bado wenzetu??
View attachment 1327470
View attachment 1327463
View attachment 1327464
View attachment 1327466
View attachment 1327467
We have already crossed!We r close to graduate from ldc status,
When we cross per capital of $1230
Currently our per capital income is $1100
And we are not your enemy,we share a lots not only border ,don't you get it twisted
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmeisave hii comment yko miez michache ijayo ntakukumbusha
Jamani mbona huna huruma!!
We r close to graduate from ldc status,
When we cross per capital of $1230
Currently our per capital income is $1100
And we are not your enemy,we share a lots not only border ,don't you get it twisted
Sent using Jamii Forums mobile app
I thought you graduated! Ama ile ilikuwa tu ni wimbo wa sisiemu kuwapumbaza kama ilivyo kawaida?We r close to graduate from ldc status,
When we cross per capital of $1230
Currently our per capital income is $1100
And we are not your enemy,we share a lots not only border ,don't you get it twisted
Sent using Jamii Forums mobile app