Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe na chuki pamoja na wivu hamjaachana sana.
Mnachofanyiwa na jubilee hadi aibu,
Nusu ya miradi hapo kenya imekwama,
Usafirishaji wa mafuta kutoka turkana unasua sua kutokana na miundombinu mibovu,
Serikali yenu imesitisha kuajiri,
Barabara zina mashimo ya kutosha,
Bado tena kipindu pindu kinawachapa kutokana na uchafu mko namba 3 kwa nchi zenye kiwango kikubwa cha cholera outbreak,
Mumeifisadi miradi mikubwa ya umwagiliaji,
Bila kusahau kenya Republic of China,
Na wala huoni 😂😂😂
Nangoja Kisumu port ni-assess value of money!
 
As usual we win ....
Screenshot_20200119-030846_Lite.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
That's a national school and their requirements are different from a county School ,you will find that full uniform will cost 10k ,3500 games kit, national schools mattress and bedings are part of that so called fee,etc, and also depends with the school diet, because national schools enrolls students from all over the country , and all of them don't eat same food we have vegetarians and those who are not so they must be taken care of also.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unajua lengo la " Free education? ", lengo ni kuhakikisha kwamba hakuna mwanafunzi atashindwa kwenda shule kutokana na kukosa uwezo wa pesa.

Sasa kama bado kuna mambo ya chakula, vitabu, examination fees, rent, mambo mengine muhimu ambayo ni lazima kwa mwanafunzi, hiyo sio free education, kumbuka hayo yote ni sehemu ya education.

Tanzania ukiacha uniform ambazo haizidi $20 per year, vyote hivyo ulivyotaja vinalipwa na serikali, ikiwemo chakula.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom