Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mana tangu iingie madarakani mambo mengi yaliyoonekana hayawezekani leo hii yamekuwa ya kawaida mfano

stars kwenda CAN

Mtz kucheza Champions league

Mtz kucheza epl

madaraja ya kisasa yanayopatikana first world countries

electrified railways

mkenya kutoka nje ya slum... Oohh sory nmekosea kumbe hyo haiwezekani
 
Ccm sounds like when kenyans used to dread and worship Kanu without questioning

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe na chuki pamoja na wivu hamjaachana sana.
Mnachofanyiwa na jubilee hadi aibu,
Nusu ya miradi hapo kenya imekwama,
Usafirishaji wa mafuta kutoka turkana unasua sua kutokana na miundombinu mibovu,
Serikali yenu imesitisha kuajiri,
Barabara zina mashimo ya kutosha,
Bado tena kipindu pindu kinawachapa kutokana na uchafu mko namba 3 kwa nchi zenye kiwango kikubwa cha cholera outbreak,
Mumeifisadi miradi mikubwa ya umwagiliaji,
Bila kusahau kenya Republic of China,
Na wala huoni 😂😂😂
 
Back
Top Bottom