Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

St. Joseph ya zamani 1930s na sasa hivi

Bado lipo kwenye ubora wake ndani ya CBD
320px-Dar_es_Salaam_in_1930s.JPG
590px-Metropolitan_Cathedral_Dar_es_Salaam.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya seem kubwa ni pori yn majengo unahesabu tofauti na kwetu pande km Dar hatuachi maeneo yawe pori eti kwa excuse ya kutunza mazingira kumbe majengo machache cc mapori ya kutosha tunayo but Dar ni seem ya buildings na ndio maana ikaitwa the new York of Africa kuna picha apo umeweka km usingekuwa ww ndo umepost ningejua ni msitu wa Congo
Nairobi haitoshi kupambana na dar,dar imejaa majengo wakati nairobi imejaa vichaka na ndo maana wanaomba msaada kwa kiambu county na mombasa ili kupambana na dar

Nairobi ni pori mwanzo mwisho 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom