Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

DKGigr4XkAEufb1 (1).jpg
DbIDgBVXkAERb3J.jpg
4549591_286157959916a926f896ch_jpeg93d6f714c662df79fa5ab92a457bca4f.jpeg
DIktcnJXcAERCpv.jpg
4549449_12328274492131050969994631223881n_jpegedcd3d34e1c070dc778384ca620b9731.jpeg
4549442_cl0oxrbwyaa8bmt_jpeg0f2859de2aef19ca620c1e468be77427.jpeg
16895099452_61809c7cb9_b (1).jpg
4549401_140732162959281974343081462557392n_jpeg90e54039c268929f128fd27dc6726965.jpeg
4549392_137245951745767822305317694932956n_jpegf1b926d7a9e399f87a396af241387a74.jpeg
4549375_109325461670136053220101213615248n_jpeg385dd2a960bbcbf2e0477fc360a4327e.jpeg
4549403_117715180_jpegbeec11192f54ecaf9260b90bd49fd38d.jpeg
4549394_280763195047689883867b_jpegf5fabfc044bff8b31263a0a016a9b830.jpeg
 

Attachments

  • 4549591_286157959916a926f896ch_jpeg93d6f714c662df79fa5ab92a457bca4f.jpeg
    4549591_286157959916a926f896ch_jpeg93d6f714c662df79fa5ab92a457bca4f.jpeg
    42.5 KB · Views: 5
Umesahau Nigeria $400bil up than south africa
Usijali tz $62bil tunafanya makubwa kwa sababu kuu Mbili
1 ) $1bil iliyopo tz inafanya mambo makubwa mara ×3 ya kihasi hicho hicho kilichopo Kenya
2 ) GDP ya tz 90% ni Mali ya watanzania isipokua 10% only tofauti na Kenya 25% ya GDP ndiyo Mali ya wakenya na 75% nimali ya mabeberu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu tutajie hao Mabeberu tuwajue ju hata sisi hatuwajui. Ama Criss kirubi pia ni beberu? Tanzania Mali yao ni ya Wahindi even the richest folks are all Indians.
 
Kenya seem kubwa ni pori yn majengo unahesabu tofauti na kwetu pande km Dar hatuachi maeneo yawe pori eti kwa excuse ya kutunza mazingira kumbe majengo machache cc mapori ya kutosha tunayo but Dar ni seem ya buildings na ndio maana ikaitwa the new York of Africa kuna picha apo umeweka km usingekuwa ww ndo umepost ningejua ni msitu wa Congo
 
Tunavyo tofauti tofauti mfano mchele wa kutosha tunawapelekea wenye uwezo wa mchele ufuta wenye uwezo wa ufuta kunde wenye uwezo wa kunde na mahindi kwa wenye uwezo wa ugali km nyie
Bwahahaa!!!hata somalia mchele na ufuta hupatikana...
Lkn tatizo mihogo ndio habari ya mjini, manake mihogo imesheheni hko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya seem kubwa ni pori yn majengo unahesabu tofauti na kwetu pande km Dar hatuachi maeneo yawe pori eti kwa excuse ya kutunza mazingira kumbe majengo machache cc mapori ya kutosha tunayo but Dar ni seem ya buildings na ndio maana ikaitwa the new York of Africa kuna picha apo umeweka km usingekuwa ww ndo umepost ningejua ni msitu wa Congo
Ukwel huu hapa..
tapatalk_1577905647892.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwahahaa!!!hata somalia mchele na ufuta hupatikana...
Lkn tatizo mihogo ndio habari ya mjini, manake mihogo imesheheni hko

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena kwa taarifa yako mihogo kwa ss ni zao lenye kuhitajika mno pia lina faida sn na ni adimu nazani ata ww apo ulipo unatamani mihogo na hili zao tunataka kulipeleka level nyngne omba omba km nyie njaa ikiwakamata tunakua tunawapeni mihogo inakaa sn tumboni hamtolialia njaa kila wkt
 
Back
Top Bottom