Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,397
Mihogo hadi america ipo
Wewe kama huwezi kulima kubali matokeo
Mihogo hadi america ipo
Wakenya sio waafrica,ni waingereza waleUnazingua sasa baharia...sisi sote ni waafrica
Ndo hiyo kilimani,mbona ni pori sasaKilimani haiwezi linganishwa na vitu vidogo kama postaView attachment 1310336
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ni kenya??! ...mko vizuri🤣🤣🤣😂😂😂Wamisri hawataki mchezo huku wengine wakishindia picha za tower tatu kila sikuView attachment 1310340View attachment 1310341
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo simple traffic rules zinazofuatwa na watanzania ni zipi?
Nenda YouTube ukamuulize aliye comment.Hizo simple traffic rules zinazofuatwa na watanzania ni zipi?
2 towers with dense forest = nairobi CBD
Posta is so cool,the photo shows it all
What's wrong with that photo? People trying to make a living? You are really dumb. In kenya, people who don't have jobs stand in the middle of boulevards holding big ass posters seeking employment. In Tanzania, people don't do that. We work our asses off until we see money in our pockets. Perhaps you should know this before you think that those pictures will hurt us in any way.
Yaani huu mradi wa SGR kenya ndo ulinifanya niidharau serikali ya kenya,haijawahi tokea project ya kijinga kama hii ...hivi uhuru Kenyatta ni msomi kweli!??Simunakumbuka maneno yangu jaman😀😀👇👇
View attachment 1310605
Ni msomi na ana pesa za kutosha. The thing is, he is not a patriot. Viongozi wengi wa kiafrika kama Kenyatta wakiingia madarakani hawawapi priority wananchi. Na kitu kingine, kenya huwa inakurupuka. They never think things through. Mchina kaja na some strange conditions, twende....ilimradi tu wao waonekane kuwa ndio wako juu ila leo tazama kilichowakuta.Yaani huu mradi wa SGR kenya ndo ulinifanya niidharau serikali ya kenya,haijawahi tokea project ya kijinga kama hii ...hivi uhuru Kenyatta ni msomi kweli!??
DMDP wanajenga barabara bora kabisa yaniNa kweli si ndo mradi wa DMDP dar nzima lazima iwe inabarabara hadi vichochoroni
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuma ukiwezaNitatuma hadi kibanda chako.
Niko njiani naelekea.....🏃🏃🏃Nenda YouTube ukamuulize aliye comment.
Yaani ni hawa wakenya wa jf tu ndo hujifanya hawaipendi tz,lakini asilimia kubwa ya wakenya huipenda Tanzania na wakija hawataki kurudi kwaoUkweli mchungu.View attachment 1311153
Hawa wa jf bado chuki na wivu zinawasumbua maana hawaamini wanachokiona 😂😂😂Yaani ni hawa wakenya wa jf tu ndo hujifanya hawaipendi tz,lakini asilimia kubwa ya wakenya huipenda Tanzania na wakija hawataki kurudi kwao
Hata huyo jamaa enginee mlevi amejitahidi kutafuta picha mbaya za Tanzania lakini kashindwa
Ujue hapo kuna makanisa mawili tofauti na yote hayo yalijengwa kitambo sanaIna 1930 halikuwapo?