The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Hii ya kibada ujenzi unaanza lini mzee
Hii ya kibada ujenzi unaanza lini mzee
Kaka naomba urudie haya maneno tag hawa nyumbu wote wa jubileeNjaa ndio mwisho wa Maelezo. Wenye pesa ni USA, Urusi na UAE, nadhani unanielewa. Mwenye pesa hafi njaa wala hapokei chakula cha msaada. Hahahaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee hz zpo nyng sn uswazi yn barabara za kiwango na taa zake
Ahaha mbona povu kijana mdogoAkili duni kweli. Sasa soko ni kitu cha kutuambia tutaelewa? Rongo kuna soko zaidi ya hiyo, Ruiru kuna kubwa inajengwa na sehemu nyingine nyingi... Usipumbazwe na ufala
Bado sijapata taarifa za ujenzi wakeHii ya kibada ujenzi unaanza lini mzee
Na kweli si ndo mradi wa DMDP dar nzima lazima iwe inabarabara hadi vichochoroniMzee hz zpo nyng sn uswazi yn barabara za kiwango na taa zake
Itakapofika 2025 kwa mwendo huu nazani tutakuwa mfano wa kuigwa ndpo jamaa zetu wataamka kutoka ucngz mzito unaowaongopea na kujifariji kwmb wapo level moja na the Giant TzNa kweli si ndo mradi wa DMDP dar nzima lazima iwe inabarabara hadi vichochoroni
Sent using Jamii Forums mobile app

Kumbe hata nyinyi pia mnajenga na kuzipenda hizi mabweni?! 😂 😂 😂 Nilidhani hizi ni mambo ya Kenya tu Kumbe hadi nyinyi! Maajabu hayaWazingatie tu suala la usawa icje ikawa ni makazi ya watu fulani fulani tu km nyumba wanazokaa wahindi kariakoo ukienda mtu wa kawaida upati chumba mpk upitie seem seem au uwe muhindi
Nairobi hakuna nyumba ndefu ndio maana blue towers za dar zinawanyima usingiz ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo umejitahidi sana ndo umepata hiyo,mbona bado si picha mbaya
Acha uongo!!!.. turkana na Marsabit watu wanaishi kwenye viota ka ndege.. nairobi yenyewe watu wanaishi kwa kibanda,je huko mashinani hali ikoje?
Avic,kibada,dege,mwongozo etcItakapofika 2025 kwa mwendo huu nazani tutakuwa mfano wa kuigwa ndpo jamaa zetu wataamka kutoka ucngz mzito unaowaongopea na kujifariji kwmb wapo level moja na the Giant Tz![]()
![]()
Nitatuma hadi kibanda chako.Kwa hiyo umejitahidi sana ndo umepata hiyo,mbona bado si picha mbaya
Mbona una hasira kijana!!!...mi nimeuliza swali je,thika nayo ni nairobi!????Aliyekuambia Thika iko Nairobi ni nani? Thika iko kiambu county but it's part of Nairobi metropolis.
Yani vigorofa vya kuhesabu😂😂😂😂
Una lolote wewe kwa msaada wa google endelea na porojo zakoNitatuma hadi kibanda chako.