Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi barabara hazifungwi km hko kwenu, wacha ubishi wa kijinga..
Drainage iko poor lkn haiweki maji kw mda mrefu vile km hko kwenu...

Hadi magari ya brt huaga hayafanyi kazi
aliyekuambia huku maji hukaa mda mrefu ni nani..?...

na kaa ukijua sehemu ambayo hujaa maji ni hapo tu kwenye mto msimbazi na hiyo yote kwa sababu ya mto na maji yenyewe hujaa katikati tu ya huo mto.......
 
Hebu nidanganye mm kuna jengo gani hapo lipo Mombasa sasa hvi hapa halipo😀😀😀 hapo mpaka English point marina naiona na imefunguliwa mwaka uliopitaView attachment 1282134
22 years ago indeed 😂 😂
aerial-view-of-kariakoo-street-market-and-cbd-beyond-looking-east-from-kariakoo-dar-es-salaam-...jpg
aerial-view-of-kariakoo-and-cbd-looking-east-from-kariakoo-dar-es-salaam-tanzania-MGBBRH.jpg
aerial-view-of-kariakoo-and-cbd-looking-northeast-from-kariakoo-dar-es-salaam-tanzania-MGA1B4.jpg
aerial-view-of-cbd-dar-es-salaam-with-bibi-titi-mohammed-street-tanzania-MGA0X2.jpg
kariakoo-town-business-dar-es-salaam-54011941.jpg
aerial-view-of-kariakoo-and-cbd-looking-north-from-kariakoo-dar-es-salaam-tanzania-MGBBPF.jpg
 
aliyekuambia huku maji hukaa mda mrefu ni nani..?...

na kaa ukijua sehemu ambayo hujaa maji ni hapo tu kwenye mto msimbazi na hiyo yote kwa sababu ya mto na maji yenyewe hujaa katikati tu ya huo mto.......
Unaangaika kumjibu huyo mbu mbu mbu anayelazimisha na mwenzake eti Dar kuna mto wenye mamba 😂😂😂
 
Nairobi Naifahamu hadi vichochoroni,
Hivi unadhani ukiandika ujinga mrefu ndio utakuwa na maana,
Siku nyingine before upost kitu make sure umefanya uchunguzi kwanza la sivyo utaaibika maana huwa nakaba hadi penati,
Nasubiri useme huo mto wenye mamba wanaozagaa mitaani uko sehemu gani
mkuu,usisumbuke kuijadili ile picha.....we ipotezee
 
aliyekuambia huku maji hukaa mda mrefu ni nani..?...

na kaa ukijua sehemu ambayo hujaa maji ni hapo tu kwenye mto msimbazi na hiyo yote kwa sababu ya mto na maji yenyewe hujaa katikati tu ya huo mto.......
Mto Msimbazi ndani ya cbd 😂 😂 😂
DSC_1097.jpg
IMG_1041.jpg
6c05a02c6bfc3dd490609d52f747b766.jpg
maf.jpeg
DSC_1107.jpg
 
Mm nataka unioneshe ubaya wa hzo pic yani unamaanisha kwamba ni slum au??😀😀😀
Ni wapi nimetaja neno slum? Mbona unajishuku kijana wa Tandale? So ni wewe ulisema kwamba picha nilileta ni zaa 22 years ago?
 
Ni wapi nimetaja neno slum? Mbona unajishuku kijana wa Tandale? So ni wewe ulisema kwamba picha nilileta ni zaa 22 years ago?
Labda uniambie we ubaya wa hzo pic tena ni magorofa yaliopangika vzr sana hehe wewe tatizo laki unahangaika bure tu na nishakwambia punguza mihemko😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom