Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Please post the numbers you handle puga.....2.4 million.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]JKIA 8 million......
Huo uwanja ni bora Afrika mashariki na kati yote pia nchi nyng za Afrika hazina uwanja bora km huo lkn pia ata baadhi ya nchi za Asia na ulaya hazina uwanja bora km huo
 
Hemmingways
70453734_2133459403630237_1477367504559931392_o.jpeg
 
Achana na huyo kilaza wa bongo. Anakubali kwamba Dar kuna mito and at the same time anakataa eti hizo mito hazina mamba. Kwani mama siku hizo wanaishi ndani ya visima?
Ni wa kupuuzwa tu hyo
 
sis tunawaletea mafuriko ya sehem mbalimbali, wao wanaleta ya jangwani tu.[emoji23]
Jangwani nyingine ndio hii. Kumbe hata zile three blue towers pia ziko jangwani! 😂 😂 😂
_DSC0507.JPG
IMG_1041.jpg
DSC_1107.jpg
maf.jpeg
DSC_1097.jpg
 

Attachments

  • _DSC0507.JPG
    _DSC0507.JPG
    41.3 KB · Views: 18
Hii city haina majengo marefu hua mnatoa wapi nguvu ya kusema Dar inamajengo mafupi?
That's Lang'ata, a residential area. We know how your residential areas look like. The infamous dream houses that you love so much and are proud of 😂 😂 😂 😂
Screenshot_20191003-212551.png
Screenshot_20190928-132332.png
Screenshot_20190928-132128.png
Screenshot_20190926-172636.png
 
Wakenya mnaocheka mafuliko dar jipangeni mwakani siyo mbali cheki mifumo mipya tunayo jenga kwenye barabara zetu

Hizi ni vitu tulifanya almost two decades ago. Nyinyi ndio mnaanza leo na unapiga kelele!!
 
Back
Top Bottom