Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,598
- 15,704
Ile ya Mombasa ulileta ilikuwa na ubaya gani?Hebu tuoneshe ubaya wa hzo pic ???
Ile ya Mombasa ulileta ilikuwa na ubaya gani?Hebu tuoneshe ubaya wa hzo pic ???
Achana na huyo kilaza wa bongo. Anakubali kwamba Dar kuna mito and at the same time anakataa eti hizo mito hazina mamba. Kwani mama siku hizo wanaishi ndani ya visima?


JKIA 8 million......
Huo uwanja ni bora Afrika mashariki na kati yote pia nchi nyng za Afrika hazina uwanja bora km huo lkn pia ata baadhi ya nchi za Asia na ulaya hazina uwanja bora km huo
Ni wa kupuuzwa tu hyoAchana na huyo kilaza wa bongo. Anakubali kwamba Dar kuna mito and at the same time anakataa eti hizo mito hazina mamba. Kwani mama siku hizo wanaishi ndani ya visima?
Wakuja humu utaskia sisi tuna developments😀😀😀😀😀😀😀
Jangwani nyingine ndio hii. Kumbe hata zile three blue towers pia ziko jangwani! 😂 😂 😂sis tunawaletea mafuriko ya sehem mbalimbali, wao wanaleta ya jangwani tu.![]()
YahUnamaanisha TERMINAL III
Tushakubakubaliana JKIA ni beach ile co airport mzeePlease post the numbers you handle puga.....2.4 million.JKIA 8 million......
That's Lang'ata, a residential area. We know how your residential areas look like. The infamous dream houses that you love so much and are proud of 😂 😂 😂 😂Hii city haina majengo marefu hua mnatoa wapi nguvu ya kusema Dar inamajengo mafupi?
Wakenya mnaocheka mafuliko dar jipangeni mwakani siyo mbali cheki mifumo mipya tunayo jenga kwenye barabara zetu
Picha hzi ni za lini??? Sisi tunakuonesha picha za Kenya leo hii"Developments" ni nini? Ama ni hii hapa View attachment 1281803View attachment 1281804View attachment 1281805View attachment 1281806