Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna aliyekataa kuwa kuna natural calamities,
Huwa mafuriko yakitokea Dar huwa mnafungua nyuzi zenu za kijinga na kusema kuwa Dar kuna miundombinu mibovu alafu tukiwaambia ni natural calamities huwa hamkubali,
Leo mafuriko kila kona Nairobi ndio unakubali kuwa kuna natural calamities 😂😂😂
Tunafungua hizo nyuzi Kwa sababu mnapinga Kila kitu kibaya chenu. Hata hapa hivi bado mnapinga kwamba Dar siku hizi haitokei Mafuriko na kusisitiza kwamba hizo ni picha za miaka za nyuma ilhali hata huu mwaka mlikutwa na hayo majanga. Nikishaleta proof then bongolala wenu mmoja goes further and say ni taarifa za May ila sasa tuko December!!! WTF!! Must danganyikans oppose everything?
 
Kitu cha moto kabisa








Niambie ni wapi Nairobi Mafuriko imenyonga nyumba hadi kooni jinsi inavyofanya Dar. Magari kuangushwa Na maji ya mafuriko ni vitu za kawaida wakati wa Mafuriko hata huko glorified fishing village
 
Niambie ni wapi Nairobi Mafuriko imenyonga nyumba hadi kooni jinsi inavyofanya Dar. Magari kuangushwa Na maji ya mafuriko ni vitu za kawaida wakati wa Mafuriko hata huko glorified fishing village
Mafuriko imeua watu zaidi ya 130 Kenya nzima kitu ambacho haijawah tokea Tanzania
 
Tunafungua hizo nyuzi Kwa sababu mnapinga Kila kitu kibaya chenu. Hata hapa hivi bado mnapinga kwamba Dar siku hizi haitokei Mafuriko na kusisitiza kwamba hizo ni picha za miaka za nyuma ilhali hata huu mwaka mlikutwa na hayo majanga. Nikishaleta proof then bongolala wenu mmoja goes further and say ni taarifa za May ila sasa tuko December!!! WTF!! Must danganyikans oppose everything?
Unaambiwa hiki wewe unandika hiki,
Mara sijui mna miundombinu mizuri ya kupitisha maji ona sasa namna mvua inavyo waumbua 😂😂😂
Endelea kuleta matukio yaliyopita ili ujifariji na current situation ya muda huu Nairobi 😂😂😂
 
Unaambiwa hiki wewe unandika hiki,
Mara sijui mna miundombinu mizuri ya kupitisha maji ona sasa namna mvua inavyo waumbua 😂😂😂
Endelea kuleta matukio yaliyopita ili ujifariji na current situation ya muda huu Nairobi 😂😂😂
Hawez kukuletea matukio ya sasa hvi hata siku moja😀😀😀😀😀
 
Naona sasa umechange gear hewani. Haya basi Nionyeshe ni wapi Nairobi Mafuriko hufikia hii level
View attachment 1282269View attachment 1282272View attachment 1282273View attachment 1282274View attachment 1282275
Swali ni Je, hospitali na ofisi hizi maeneo yakoje?
unajifurahisha sana mzee,,,,hiyo picha ni miaka mingi sana iliyopita jangwani hakuna makazi mda mrefu sana tulishabomoa huo mji kilichobaki ni mto tu na open space na kila siku huwa unaambiwa......ila inajifanya hauelewi

tizama picha hiyo ya mafuriko kisha unionyeshe hizo nyumba zilizoingiliwa na maji zipo wapi
images.jpeg
 
Back
Top Bottom