Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
mbona mnajifanya mazuzu. The price of soda ndogo (ya chupa) ni Ksh 35 ila kuna sehemu ukienda you will cough out ksh 200 or more to enjoy the same soda. It all depends with the joint and its location. Personally, I have never bought soda ya plastic for ksh 90 in a normal shop. It costs between ksh 60- ksh 70 in normal shops and restaurants
Basi umenipa somo, kumbe pamoja na kujidai pesa yenu ipo juu ya Tsh, lakini bado hata ukii convert kuja kwenye pesa ya Tanzania, Tsh inaonesha ina thamani kubwa zaidi yenu sababu mnatumia pesa yenu kununua kitu ambacho Tanzania kinauzwa nusu ya bei mnayouziwa ninyi hapo Kenya

