babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,904
- 34,903
Ndio maana huwa wakija bongo hawataki tena kurudi kwao 😂😂😂Aki tena na mimi sijawahi kuona. TZ kachumbari huwa ni complementary kwenye msosi mzima unaonunua ila kwa jirani unauziwa. Ukame hauwaacchi watu salama




