Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nani kakwambia kw mama nitilie kenya 50 huli sahani ya ugali au wali...

Huyo kaenda hoteli ya wapigaji..wee jiji hulijui unajifanya mjuaji, endelea kupigwa hvo hvo..utarevuka tu
Du Kenya maisha ni magumu sana tz dar es salaam sahani yq ugali yenye mboga ya nyama njegere dagaa na tembere ni TSH 1000 kama uamini muulize mk254
 
IMG_1572458988.084868.jpg

Mim nipo Nairobi nimebanwa kidogo na ratiba. Natakiwa kurudi Dar ijumaa, lakin sitarudi ijumaa. Jmosi nitakuwa nina mda mzuri kwa kuzunguka nairobi. Nitakuwa naleta updates humu ... sema kiufupi wana maisha magumu hawa jamaa
 
Dah bora maisha ya bongo kuliko nairobi kenya hadi kachumbari inauzwa ksh5
mbona mnajifanya mazuzu. The price of soda ndogo (ya chupa) ni Ksh 35 ila kuna sehemu ukienda you will cough out ksh 200 or more to enjoy the same soda. It all depends with the joint and its location. Personally, I have never bought soda ya plastic for ksh 90 in a normal shop. It costs between ksh 60- ksh 70 in normal shops and restaurants
 
Mi soda ndogo hku mtaani ni 30 tu..
Jamaa kaingia hoteli analipishwa kachumbari pamona na tomato sauce...
Ukiwa zuka noma kweli..sasa atafanyaje hana ujanja na jiji
mbona mnajifanya mazuzu. The price of soda ndogo (ya chupa) ni Ksh 35 ila kuna sehemu ukienda you will cough out ksh 200 or more to enjoy the same soda. It all depends with the joint and its location. Personally, I have never bought soda ya plastic for ksh 90 in a normal shop. It costs between ksh 60- ksh 70 in normal shops and restaurants
 
It's a good thing to do some research before posting. The biggest data center in East Africa is and will always be in Nairobi


TTCL owns largest data centre in the whole of EA. Pia Vodacom and Halotel



 
Mi soda ndogo hku mtaani ni 30 tu..
Jamaa kaingia hoteli analipishwa kachumbari pamona na tomato sauce...
Ukiwa zuka noma kweli..sasa atafanyaje hana ujanja na jiji

Mim sijanunua chakula kinachohitaji hizo kachumbali na tomato sauce, nimeoona tu kwenye menu ukutani.

Now imagine mtalii ana kuja nchini kwenu analipishwa Kachumbari na Tomato sauce.. wakat ilitakiwa iwe ni option yake kuwekewa freely au asiwekewe! Hapa ndo mnapofeli kwenye hospitality🤦🏽‍♂️
 
Aisee hii ni hatar zaidi ya salama yn unakubali kwamba nyie ni wevi daahh yn mnapga mpk kwny kachumbari kweli Zari angefny masiala mngemuibia mpk underwear
Nani kakwambia kw mama nitilie kenya 50 huli sahani ya ugali au wali...

Huyo kaenda hoteli ya wapigaji..wee jiji hulijui unajifanya mjuaji, endelea kupigwa hvo hvo..utarevuka tu
 
Back
Top Bottom