Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,884
- 12,949
Si hoja wakaazi wa LDC wakishangaa kachumbari inauzwa. Ulisahau kusema sauce inauzwa kando. Kweli hawa LDC tuwapatie miaka mingapi kabla ya kuwa na miundo msingi kama hii. Nimegundua kuwa haters wanaishi tu hapa Nairobi, nivile wanashangaa mbona nchi yao iko nyuma ilhali wamebarikiwa na maeneo kubwa ya kitalii na madini. Seems the only way to dilute the hate is to compare and hate. Nashangaa hawa "expert economists" mbona hawaulizi bei ya fries kule America kama kweli wanelewa maswala haya
Miundo msingi unamaanisha barabara? kwani hatuna? mna BRT? si mna vile vimatatu vidogo ambavyo hata watu hawapumui ndani 😂 😂 kama mnauziwa mchanganiyiko wa nyanya na vitunguu hayo ndo maisha gani sasa? Hivi mna afya kweli nyie? Yaani inachekesha sana kusikia watu wanaotegemea chakula tunacholima sisi wakituita haters. Tungekuwa real haters tusingewauzia chakula mkanunua vya bei ghali kutoka sehemu nyingine.

