Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,607
- 15,711
π π π π... Wacha tu nicheke. Joke of the centuryNdio maana huwa wakija bongo hawataki tena kurudi kwao πππ
π π π π... Wacha tu nicheke. Joke of the centuryNdio maana huwa wakija bongo hawataki tena kurudi kwao πππ
π π π π... Wacha tu nicheke. Joke of the centuryNdio maana huwa wakija bongo hawataki tena kurudi kwao πππ
Cheka tu wala hujanyimwa ila huo ndio ukweli.π π π π... Wacha tu nicheke. Joke of the century
mbona mnajifanya mazuzu. The price of soda ndogo (ya chupa) ni Ksh 35 ila kuna sehemu ukienda you will cough out ksh 200 or more to enjoy the same soda. It all depends with the joint and its location. Personally, I have never bought soda ya plastic for ksh 90 in a normal shop. It costs between ksh 60- ksh 70 in normal shops and restaurants
Mi soda ndogo hku mtaani ni 30 tu..
Jamaa kaingia hoteli analipishwa kachumbari pamona na tomato sauce...
Ukiwa zuka noma kweli..sasa atafanyaje hana ujanja na jiji
Did you read what I posted ama wewe ni kuweweseka tu? I clearly stated soda ya plastic costs between 60-70 Kenyan shillings ila normal soda ndogo is 30-35. Mbona una uelewa finyu?Tuwekane sawa hapa#
Unasema soda ndogo ina cost 60-70ksh na huwa mnajisifia kuwa pesa yenu ni 22 times ya Tshs
60*22=1320
70*22=1540
Kwa haraka haraka apo utagundua kuwa soda tu itakubidi uwe na sh 1300-1500 Tshs na hzo ni bei za maduka ya kawaida wkt kwa uku Tz soda ni kitu kdg sn ina range from 500-800 ktk normal shops ss huoni kuwa mna maisha magumu sn pia huoni kama pesa ya Tz ina purchasing power kubwa kuliko hyo mnayoicfia ina thamani kubwa kuliko ya Tz
Ebu tutumie iyo soda ya plastic tuione mana me toka kuzaliwa I have never seen itDid you read what I posted ama wewe ni kuweweseka tu? I clearly stated soda ya plastic costs between 60-70 Kenyan shillings ila normal soda ndogo is 30-35. Mbona unafikiri uelewa finyu?
Then it's pointless having this debate. Why would you want to talk about something you don't know?Ebu tutumie iyo soda ya plastic tuione mana me toka kuzaliwa I have never seen it
Then it's pointless having this debate. Why would you want to talk about something you don't know?
Vyuma vimekaza kwa jirani balaaAki tena na mimi sijawahi kuona. TZ kachumbari huwa ni complementary kwenye msosi mzima unaonunua ila kwa jirani unauziwa. Ukame hauwaacchi watu salama
Kuna dada yao kacross border kuja kufosi ndoa kwa mbosso ili tu atimize ndoto yake ya kuishi bongo!Ndio maana huwa wakija bongo hawataki tena kurudi kwao![]()
π π π πWe jamaa wa wp ww unaongea kitu af unajikataa mwnyw hyo ndyo inferiority complex ya wakenya ambayo wako nayo kwa ss dhidi ya WaTz
Ukikatiza mitaa ya kibera usisahau kuvaa mask mkuu,maana hiyo harufu yake pale si mchezoView attachment 1249338
Mim nipo Nairobi nimebanwa kidogo na ratiba. Natakiwa kurudi Dar ijumaa, lakin sitarudi ijumaa. Jmosi nitakuwa nina mda mzuri kwa kuzunguka nairobi. Nitakuwa naleta updates humu... sema kiufupi wana maisha magumu hawa jamaa
![]()
Jipe moyo mtashinda mkistuka kumekucha![]()
![]()
![]()
![]()
Eti wakenya wako na inferiority complex dhidi ya Watanzania? Wacha tu nicheke. The pot is now calling the kettle black! We are living in very interesting times



Iyo inaytwa MKUBWA WAO ni tshs 600 tu ss we unasema soda ndogo ya chupa ni kshs 30-35 ambapo kwa jnc mnavyoinadi pesa yenu ni kwmb apo ni sawa na tshs 770Did you read what I posted ama wewe ni kuweweseka tu? I clearly stated soda ya plastic costs between 60-70 Kenyan shillings ila normal soda ndogo is 30-35. Mbona una uelewa finyu?


Soda ya plasticDid you read what I posted ama wewe ni kuweweseka tu? I clearly stated soda ya plastic costs between 60-70 Kenyan shillings ila normal soda ndogo is 30-35. Mbona una uelewa finyu?



Is 600 pesa za madafu not equivalent to ksh 30?Iyo inaytwa MKUBWA WAO ni tshs 600 tu ss we unasema soda ndogo ya chupa ni kshs 30-35 ambapo kwa jnc mnavyoinadi pesa yenu ni kwmb apo ni sawa na tshs 770
Mna maisha magumu sn kwakweli na hyo japo kimoyo moyo mnakubaliView attachment 1249381
Unataka niseme soda ya chupa ya plastic? Sawa baba ndyo nimesemaSoda ya plastic![]()

nenda sauzi ukajionee bei ya soda
Iyo inaytwa MKUBWA WAO ni tshs 600 tu ss we unasema soda ndogo ya chupa ni kshs 30-35 ambapo kwa jnc mnavyoinadi pesa yenu ni kwmb apo ni sawa na tshs 770
Mna maisha magumu sn kwakweli na hyo japo kimoyo moyo mnakubaliView attachment 1249381
Is 600 pesa za madafu not equivalent to ksh 30?