Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwenzenu kaingizwa kengeumeenda nairobi si usome rada kwanza...ona vile amepigwa sasa
Mctake kupotezea na kuondoa uhalisia apa hyo bei imeandikwa ktk bango it means ndo kawaida na ndio bei zenu co kwmb jamaa ame bargain hyo ndio hali halisi ya uko kwenu
 
Hta wewe ukienda nairobi utapigwa tu..mi uniuzie kachumbari na tomato sause...kwn nasuzwa nn..
Aisee hii ni hatar zaidi ya salama yn unakubali kwamba nyie ni wevi daahh yn mnapga mpk kwny kachumbari kweli Zari angefny masiala mngemuibia mpk underwear
 
Tulia wajanja wapige hela wewe..
Wakuja atapata tabu sana mpka azoee.....
Mim sijanunua chakula kinachohitaji hizo kachumbali na tomato sauce, nimeoona tu kwenye menu ukutani.

Now imagine mtalii ana kuja nchini kwenu analipishwa Kachumbari na Tomato sauce.. wakat ilitakiwa iwe ni option yake kuwekewa freely au asiwekewe! Hapa ndo mnapofeli kwenye hospitality
 
mbona mnajifanya mazuzu. The price of soda ndogo (ya chupa) ni Ksh 35 ila kuna sehemu ukienda you will cough out ksh 200 or more to enjoy the same soda. It all depends with the joint and its location. Personally, I have never bought soda ya plastic for ksh 90 in a normal shop. It costs between ksh 60- ksh 70 in normal shops and restaurants
Sawa hata kama ukisema ni ksh35 lakini bado tu itakuwa inabei kubwa coz hiyo ksh35 kwa ajili ya soda inabaki na chenji so bado mnahali ngumu
 
mbona mnajifanya mazuzu. The price of soda ndogo (ya chupa) ni Ksh 35 ila kuna sehemu ukienda you will cough out ksh 200 or more to enjoy the same soda. It all depends with the joint and its location. Personally, I have never bought soda ya plastic for ksh 90 in a normal shop. It costs between ksh 60- ksh 70 in normal shops and restaurants
Na huku kwetu mtaani soda ni ksh25 sasa huoni ninyi mnahali mbaya mnauziwa ksh35 kwa soda moja
 
Heheeee!!usijali lkn, ukienda nairobi usijifanye ali kujua...waona mwenzako alivyofanywa
Waache kukupiga mbugila kama wewe.kweli dunia itakuwa imefika mwisho
Tokomezeni hali duni yaani bora kuwa maskini kuliko kuwa na hali duni
 
Did you read what I posted ama wewe ni kuweweseka tu? I clearly stated soda ya plastic costs between 60-70 Kenyan shillings ila normal soda ndogo is 30-35. Mbona una uelewa finyu?
Hebu tuzungumzie soda take away kenya inauzwa 80-90ksh wakat tanzania soda take away inauzwa 1000 ambayo ni sawa 45ksh akili kichwani mwako
 
Hebu tuzungumzie soda take away kenya inauzwa 80-90ksh wakat tanzania soda take away inauzwa 1000 ambayo ni sawa 45ksh akili kichwani mwako
Wamekuja na policy mpya kwmb bei rahisi zinapatikana ldc tuwaache tu mana kwny vyakula, majengo,huduma za afya, miundo mbinu, usafiri, uzalendo n.k washakubali nazani tuanzishe mada nyingine hz ztawafanya watuachie thread humu
 
mtupe na bei ya machapararaa(chapati)hapo nairobi
hapa nilipo kwa mamantilie nanunua tsh250
 
Si hoja wakaazi wa LDC wakishangaa kachumbari inauzwa. Ulisahau kusema sauce inauzwa kando. Kweli hawa LDC tuwapatie miaka mingapi kabla ya kuwa na miundo msingi kama hii. Nimegundua kuwa haters wanaishi tu hapa Nairobi, nivile wanashangaa mbona nchi yao iko nyuma ilhali wamebarikiwa na maeneo kubwa ya kitalii na madini. Seems the only way to dilute the hate is to compare and hate. Nashangaa hawa "expert economists" mbona hawaulizi bei ya fries kule America kama kweli wanelewa maswala haya

 
Back
Top Bottom