Ppmosile
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 1,232
- 1,890
Acha povu mzee unazani kuwa hicho kitu wame edit auKhaa!!hoteli hmgani hyo wanauza kachumbari pamoja na tomato sause...
Yajiitaje hyo hoteli na ni ya area gani?
Acha povu mzee unazani kuwa hicho kitu wame edit auKhaa!!hoteli hmgani hyo wanauza kachumbari pamoja na tomato sause...
Yajiitaje hyo hoteli na ni ya area gani?
This my friend is a childish attempt to try and bait me into your childish arguments. This time I will pass. not worth my time. Continue praising and cheering on terrorists.huku ndo wakina komora096 na Kevin85ify watajenga pipeline na kupitisha cargo toka Lamu port!
Acha povu mzee unazani kuwa hicho kitu wame edit au
huku ndo wakina komora096 na Kevin85ify watajenga pipeline na kupitisha cargo toka Lamu port!
Al Shabaabs wanazingoja hizo maneno wafanyie mazoezi ya shabaha na kuzilipua!Nenda kapumzike mzee baba
Al Shabaabs wanazingoja hizo maneno wafanyie mazoezi ya shabaha na kuzilipua!
😂😂😂😂😂😂 basi habari wataipatahuku ndo wakina komora096 na Kevin85ify watajenga pipeline na kupitisha cargo toka Lamu port!
Bwaaah kulikuwa na Uzi hapa jf wakenya wenyewe walithibitisha hivyo ukinunua chakula chachumbali bei yakeKhaa!!hoteli hmgani hyo wanauza kachumbari pamoja na tomato sause...
Yajiitaje hyo hoteli na ni ya area gani?
Bwaaah kulikuwa na Uzi hapa jf wakenya wenyewe walithibitisha hivyo ukinunua chakula chachumbali bei yake
Si nimeuliza, kwn we unaumwa na nn?
Jaman enh nipo Nairobi, watawaambia nn hawa watu
Soda tu 90, hio 100 na chenji kubaki kwa mama ntilie unakula nn
View attachment 1248717
Unaulizaje kitu ambacho kipo huko kwenu kenya.yani wewe ndo unaumwa upo ICU
Msikize ndugu yako
Pambana na hii kwanza😂😂👇👇👇Kwn zitto anasemaje kuhusiana na bagamoyo port jamaa la intelligence
Sijawah kuona kachumbari na tomato sauce zinauzwa separate mgahawani,hizi ni dalili Za ukora usionasababu...Jaman enh nipo Nairobi, watawaambia nn hawa watu
Soda tu 90, hio 100 na chenji kubaki kwa mama ntilie unakula nn
View attachment 1248717
Aki tena na mimi sijawahi kuona. TZ kachumbari huwa ni complementary kwenye msosi mzima unaonunua ila kwa jirani unauziwa. Ukame hauwaacchi watu salamaSijawah kuona kachumbari na tomato sauce zinauzwa separate mgahawani,hizi ni dalili Za ukora usionasababu...
Utakula chips bila tomato au pilau bila kachumbari?