Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I can bring you the link ujisomee mwenyewe ukitaka. only 10% of Dar is connected to the sewer line. Sehemu zingine zote ni "freestyle". Hiyo ripoti inasema kwamba hata baadhi ya maeneo kule CBD hazijakuwa connected to a central sewer system. A good number of your big hotels pia zinawachilia tu raw sewage ndani ya ocean. It's a sad state of affair. So what this guy is saying ni ukweli mtupu
tanzanians will discredit any finding exposing their nakedness........i was in dar and majority of the neighbourhoods arent appealing.......you cant walk in those places as a foreigner
 
Ukweli gani ndugu
Mbona unalazimisha uwongo uwe ukweli,
Kufananisha kibera na mwananyamala huo ni ujinga embu ipeni kibera heshima yake.
Mibongo leo wamepata dawa "from within"
Kweli hampendi kuambiwa ukweli. You'd rather be told sweet lies than the bitter truth
 
tanzanians will discredit any finding exposing their nakedness........i was in dar and majority of the neighbourhoods arent appealing.......you cant walk in those places as a foreigner
Let them continue to live in denial and discrediting everything about Dar and Tanzania in general. It won't save their ass
 
Ukweli gani ndugu
Mbona unalazimisha uwongo uwe ukweli,
Kufananisha kibera na mwananyamala huo ni ujinga embu ipeni kibera heshima yake.
Ni wapi alitaja jina kibera katika posts zake. You like mentioning kibera coz it's the only thing from Nairobi you can compare with Dar is slum. mji wa vinyeshi "fresh" kama za kibera 😂 😂 😂
Hilo jina kinyesi fresh kweli imenifurahisha
 
Nairobi ukiita kibera ni sawa tu maana 60% ya wananchi wa Nairobi wanaishi kibera kwenye flying toilet.
Ni wapi alitaja jina kibera katika posts zake. You like mentioning kibera coz it's the only thing from Nairobi you can compare with Dar is slum. mji wa vinyeshi "fresh" kama za kibera
Hilo jina kinyesi fresh kweli imenifurahisha
 
Kisa wanaichukia serikali basi wameamua kuichukia hadi na nchi.
Hao ndio wanaokufaga maskini coz mtu kama huyu hawezi hata kuanzisha kiwanda kwakuwa ataona anamfaidisha Magufuli wakati anafaidisha nchi yake na vizazi vyake, jinga la chini sana hilo wala msilijibu liacheni likimbie na taulo msilifukuze
 
Acha umangulo, nani anachukia serikali na nchi, watu wanachukia matendo na sera mbaya,msitafute pahala pa kufichia ukurutu wenu, hakuna wa kuhama, nyie ndio mtapelekwa ICC NA THE HAGUE, punda wewe
Ndugu chukia wapinzani wako lakini ujue kuwa kama ulizaliwa mtanzania utabaki kuwa mtanzania tu, hata ukiidhalilisha nchi yako kwa uongo ujue unajiaibisha mwenyewe na wale unaowapambia hayo wanakuona mjinga vilevile na nakuahidi huna hata siku mbili utajutia huu uongo wako. Mimi ni mojawapo ninaependa mabadiliko ya uongozi Tanzania ila nakuhakikishia hata Tundu lisu hapo alipo kuna vitu tayari anajutia na hawezi kuendelea kuichafua Tanzania kwa mabeberu tena.
Iga mfano wa Wilbroad Silaa, alikua mpinzani na alikua mwakilishi wa Tanzania kwenye bunge la Ulaya kwa miaka tano ila hakuifitini nchi yake kwa wageni ingawa alikua bado chama pinzani. Jitathmini na utulize kichwa chako ufikirie utaifanyia nini Tanzania iweze kusonga mbele huku ukikumbuka kuwa LIFE IS NOT FAIR na life linapokupiga usimlaumu mtu hata kama yupo connected moja kwa moja na kuanguka kwako, mafanikio pekee ni kujifunza changamoto ulizopitia na kuendelea kusonga mbele kwa kujihami. "Chui ni mla nyama ila anapoenda kuwinda kama watoto wake hawajajificha ipasavyo anaweza kuja na nyama akute watoto wake walishakuwa kitoweo cha fisi lakini hamzuii kuendelea kuzaa" Jifunze kupambana na changamoto utashinda sio kulaumu wenzako
 
Ndugu chukia wapinzani wako lakini ujue kuwa kama ulizaliwa mtanzania utabaki kuwa mtanzania tu, hata ukiidhalilisha nchi yako kwa uongo ujue unajiaibisha mwenyewe na wale unaowapambia hayo wanakuona mjinga vilevile na nakuahidi huna hata siku mbili utajutia huu uongo wako. Mimi ni mojawapo ninaependa mabadiliko ya uongozi Tanzania ila nakuhakikishia hata Tundu lisu hapo alipo kuna vitu tayari anajutia na hawezi kuendelea kuichafua Tanzania kwa mabeberu tena.
Iga mfano wa Wilbroad Silaa, alikua mpinzani na alikua mwakilishi wa Tanzania kwenye bunge la Ulaya kwa miaka tano ila hakuifitini nchi yake kwa wageni ingawa alikua bado chama pinzani. Jitathmini na utulize kichwa chako ufikirie utaifanyia nini Tanzania iweze kusonga mbele huku ukikumbuka kuwa LIFE IS NOT FAIR na life linapokupiga usimlaumu mtu hata kama yupo connected moja kwa moja na kuanguka kwako, mafanikio pekee ni kujifunza changamoto ulizopitia na kuendelea kusonga mbele kwa kujihami. "Chui ni mla nyama ila anapoenda kuwinda kama watoto wake hawajajificha ipasavyo anaweza kuja na nyama akute watoto wake walishakuwa kitoweo cha fisi lakini hamzuii kuendelea kuzaa" Jifunze kupambana na changamoto utashinda sio kulaumu wenzako
hii porojo yako ina funzo gani boss?
just in one line?
 
1. Electric train iko wapi? Is it operational?
Brt transport - that's the only thing unaweza Niambia Dar inazidia Nairobi but we all know inaenda uswazini

2. Boat Transport - Nairobi is a landlocked city. Where do you expect those boats to operate? "Use your head"

3. New and modern international airport - Where does your airport rank in Africa in terms of traffic?JKIA is ranked forth best airport in Africa. JNIA is not even in the top 15.
4. Football stadium. How is your football stadium bigger than Kasarani when they have the same sitting capacity?

5. Bus stations. Hapo kidogo mmetuzidi

Now tell me which areas does Dar score high than Nairobi?

1. The economy of Nairobi is two times bigger than that of Dar

2. Nairobi has more middle class than Dar.

3. Nairobi is the financial and transport hub if the region

4. Nairobi hosts many international companies than the whole of Tanzania probably

5. Nairobi is the leading FDI destination in East Africa and the fifth in Africa

I can go on and on and on.... Mambo yote nuhimu Nairobi inashinda Dar. Kelele muwache
1.JNIA T3 is lit,hatukuweza kua na traffic kubwa facility ilikua ndogo Ndio tumeongeza...tusubiri report yake baada ya mwaka...

2. Kasarani Ni uwanja kuu kuu hauna hadhi ya kushindana na huu wa hapa Dar hili wala halihitaji umalize shule ya msingi uelewe

3.Kuhusu Electric train uhakika Ni 2020 hapo Nakuhakikishia lazima utakubali tu

4.Kumbuka kuna projects kadhaa zinaendelea ndani ya jiji kama BRT II phase 20.3km ,Ubungo with 725M 3level interchange ,Salender bridge,Kimara-kibaha highway 19.2km 8-12lanes,Dar port expansion, all of these projects are U/C N Most of em are to be ready by 2020...

Tutakutana hapa
 
Back
Top Bottom