Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi ngoja niulize kuna shida gani uwanja ukiwa na running tracks? Unakosa sifa ya kuwa uwanja wa soka? Unashindwa kuchezewa mpira? Watazamaji wanakosa fursa ya kuangalia mpira vizuri? Uwanja unaonekana mbaya? Ni shida gani inatokea uwanja ukiwa na running tracks? Maana naona ni ‘kila mtu’ sasa imekuwa trend kukataa running tracks na sioni mkisema sababu, naomba kuelimishwa tafadhali.
Kwa uwanja wa serikali ni sawa tena inasaidia kuongeza effort kukuza riadha ambayo tumekua tunafanya vizuri kimataifa kuliko soka
 
Kwa uwanja wa serikali ni sawa tena inasaidia kuongeza effort kukuza riadha ambayo tumekua tunafanya vizuri kimataifa kuliko soka
Tanzania imekuwa ikifanyaza vizuri kwa riadha?😂😂😂

When last did a Tanzanian won a medal at Athletics?😂😂
 
1714547050383.png
 
V
Nani kakwambia matumizi madogo? Kama facilities zipo unafikiri IAA hawatakuja kutaka michezo yao ifanyike hapo? Kwahiyo kinachotaka kufanyika Dodoma kujenga sports complex indoor and swimming arenas tuache? Hivi upeo wako na elimu yako iko vp mshikaji? Unajua kitu kinaitwa Cost Benefit Analysis? Kila facility ya serikali lazma iwe multipurpose.
Viwanja vya soka vijengwe na clubs sio serikali. Wasikimbie wajibu wao. Kwanza kama taifa lazima tuangalie michezo mingi sio soka tu.
 
😂😂😂😂😂😂.
Sasa mkuu unataka kila kiwanja cha serikali tujaze running track uhitaji mdogo,hivi hata wewe fikiria inaleta mantiki kweli!?
Miundombinu ijengwe kulingana na uhitaji,naona hilo ndilo litapendeza.
Arusha inatosha kuwa na running track.
Vingine wasiweke.
Uko sahihi kwa mawazo yako,
Ila fanya survey ya viwanja vyote vya taifa ama vta serikali duniani huwa vinakuwa vipi kwa upande wa miundo mbinu kisha urejee na hiyo hoja,
Bila kusahau pia fanya survey ya viwanja binafsi ya vilabu vyote duniani huwa vinakuwa vipi kisha urejee tena hapa
 
Back
Top Bottom