Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

By the way what happened to ur mzizima towers.....inaoneka ikiwa fupi sana ukilinganisha na hizo tatu,nidhani ni more than 160m lakini nikama 130m hiviView attachment 1187866
69F44EBF-4FC2-4F68-A16A-0962B0EA2636.jpeg
9AE5F417-9C36-4BC0-812B-42FBE1098E1D.jpeg
075F1BAE-1F20-419A-844E-C645329864F4.jpeg
864D5E9D-4690-48F1-875E-D09F5EDC8F89.jpeg
7F56CCEA-7054-4149-BDD7-FB451EF067BB.jpeg
251B9CEB-AA10-43FA-9975-278D051C2BD4.jpeg
 
By the way what happened to ur mzizima towers.....inaoneka ikiwa fupi sana ukilinganisha na hizo tatu,nidhani ni more than 160m lakini nikama 130m hiviView attachment 1187866
Hii picha hapa inadhihirisha ukweli kwamba CBD ya Dar es Salaam ni ndogo sana . Nairobi ile CBD yake ni pana sana ina business hubs tatu yaani old CBD , Westlands na Upperhill. Na bado Kilimani imeeanza kuwa the next one.
 
Hii picha hapa inadhihirisha ukweli kwamba CBD ya Dar es Salaam ni ndogo sana . Nairobi ile CBD yake ni pana sana ina business hubs tatu yaani old CBD , Westlands na Upperhill. Na bado Kilimani imeeanza kuwa the next one.
Dar is three times bigger than Nairobi
Nairobi is most populated than Dar
 
Hii picha hapa inadhihirisha ukweli kwamba CBD ya Dar es Salaam ni ndogo sana . Nairobi ile CBD yake ni pana sana ina business hubs tatu yaani old CBD , Westlands na Upperhill. Na bado Kilimani imeeanza kuwa the next one.
It's too small even compared to westy walai,combine posta their main cbd + Kariakoo+ upanga is when u get the larger Westlands and still they want to be mentioned whenever Nairobi is mentioned
tapatalk_1564499065299.jpeg
tapatalk_1564283120213.jpeg
 
The only place left out is kijitonyama which is comparable to Mombasa road and Mombasa road still has more buildings
 
You know that even kilimani looks larger than ur cbd?View attachment 1188039View attachment 1188040
Naona vijana wa Kenya wamepagawa kweli kweli na hii picha
Mnajua fika Dar ni kubwa kuliko NBO hivyo basi sitegemei uniambie eti CBD ya Dar ni ndogo kuliko za NBO though inaweza ikawa ila sio kwa size ya CBD ya Dar

Dar's CBD including Posta, Kivukoni, Upanga East, Mchafukoge those places ziko far apart

Hiyo picha kuna maeneo mengi sana hapo kati, au umesahau ku interpret photographs secondary....
Hiyo CBD ipo middle and background part of the photo kwahiyo lazima features zionekane ndogo, hushangai kwenye industries hapo kwanini zinaonekana kubwa..

Ukweli utabaki pale pale Dar is huge na CBD yake pia....

Af kuna wataalam hawapo hapo Kijitonyama, Morocco, Along Sam Nujoma Rd, Kino, Mikocheni, Msasani Peninsula yote including Masaki, Oysterbay etc ko mjitathmini nyang'aus
 
Kulia lia hakusaidi chochote.....hii ndio na ni kitu kidogo sana
Naona vijana wa Kenya wamepagawa kweli kweli na hii picha
Mnajua fika Dar ni kubwa kuliko NBO hivyo basi sitegemei uniambie eti CBD ya Dar ni ndogo kuliko za NBO though inaweza ikawa ila sio kwa size ya CBD ya Dar

Dar's CBD including Posta, Kivukoni, Upanga East, Mchafukoge those places ziko far apart

Hiyo picha kuna maeneo mengi sana hapo kati, au umesahau ku interpret photographs secondary....
Hiyo CBD ipo middle and background part of the photo kwahiyo lazima features zionekane ndogo, hushangai kwenye industries hapo kwanini zinaonekana kubwa..

Ukweli utabaki pale pale Dar is huge na CBD yake pia....

Af kuna wataalam hawapo hapo Kijitonyama, Morocco, Along Sam Nujoma Rd, Kino, Mikocheni, Msasani Peninsula yote including Masaki, Oysterbay etc ko mjitathmini nyang'aus
Sasa ongeza upanga, Kariakoo na ilala unapata hii ndogo kundu
tapatalk_1565372665890.jpeg
tapatalk_1564283120213.jpeg
 
Back
Top Bottom