Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kulia lia hakusaidi chochote.....hii ndio na ni kitu kidogo sanaSasa ongeza upanga, Kariakoo na ilala unapata hii ndogo kunduView attachment 1188053View attachment 1188054


Mbona kama unateseka hivi, Dar si mchezo etii...
Asubuh yote hii inakutoa jasho, relax bro take a cup of tea kwanza

Kwenye vigorofa gorofa pale kuna
Posta, Upanga ( East + West ), Kivukoni, Mnazi Mmoja, Gerezani, Kariakoo ( Huge ), Mchafukoge, Ilala ( Karume, Mchikichini, Boma )

Huku kwenye Viwanda
Hii ni Chang'ombe industrial area plus along Nyerere Road industrial area,
Keko kwa mbaaali, Temeke Bora

Af hii picha ina wilaya mbili tofauti at the same (Ilala na Temeke) moja kati ya picha adimu sana kuonekana Dar kwasababu ya ukubwa wa Dar...

FYI Dar ina Wilaya 5 hapo kuna chembe ya Wilaya 2
 


Mbona kama unateseka hivi, Dar si mchezo etii...
Asubuh yote hii inakutoa jasho, relax bro take a cup of tea kwanza

Kwenye vigorofa gorofa pale kuna
Posta, Upanga ( East + West ), Kivukoni, Mnazi Mmoja, Gerezani, Kariakoo ( Huge ), Mchafukoge, Ilala ( Karume, Mchikichini, Boma )

Huku kwenye Viwanda
Hii ni Chang'ombe industrial area plus along Nyerere Road industrial area,
Keko kwa mbaaali, Temeke Bora

Af hii picha ina wilaya mbili tofauti at the same (Ilala na Temeke) moja kati ya picha adimu sana kuonekana Dar kwasababu ya ukubwa wa Dar...

FYI Dar ina Wilaya 5 hapo kuna chembe ya Wilaya 2
If that is the case....basi hakuna haja ya kujumuisha cbd,kilimani,upper hill,ngara na parkland,Westlands inatosha kuwakalisha chini na hizo districts umetaja hapo zote
tapatalk_1564499065299.jpeg
tapatalk_1564283120213.jpeg
 
Kati ya Nairobi yenye area of 696 kilometers squared yenye watu 3.1 million

Na


Dar yenye area of 1,590 kilometers squared yenye watu 4.1 million

Ipi ni kubwa na ipi ipo more populated (over population) kwa akili yako finyu?
Actually Dar is 5 mln people!
 
Actually Dar is 5 mln people!
Yeah hizo nilizoweka zilikuwa statistics za 2012

Na sababu ya ukubwa wa Dar na idadi yake ndio maana Dar haina slums wala mlundikano wa watu kama Nairobi yenye kaeneo kadogo na lundo la watu wasioshahabiana na resources zilizopo.
 
90% ya nairobi ni kichaka,nairobi haijajengeka kabisa yaani ni pori na majengo mawili matatu...aiseee hawa jamaa ni wasanii🌲🌳🌲🌴🌴🌵🌴🌴🌳🌱🌴🌴🌳🌴🌲🌳🌲
 
Wewe mboya nn?....ukitoa hizo building tatu posta,upanga na Kariakoo hazina tofauti na umoja ya eastlands
90% ya nairobi ni kichaka,nairobi haijajengeka kabisa yaani ni pori na majengo mawili matatu...aiseee hawa jamaa ni wasanii
 
90% ya nairobi ni kichaka,nairobi haijajengeka kabisa yaani ni pori na majengo mawili matatu...aiseee hawa jamaa ni wasanii🌲🌳🌲🌴🌴🌵🌴🌴🌳🌱🌴🌴🌳🌴🌲🌳🌲
Nini hufunzwa shule za tz jameni? Wakati dunia inalia msitu wa amazon ukichomeka na viongozi kuweka mikakati ya GOING GREEN by 2030, mtz anaona ni vibaya jiji kua na msitu na miti mingi kila mahali. Sasa concrete jungle kama darisslum inasaidia na nini? Na hilo hilo jiji lenu ndo litakua la kwanza kumezwa maji sea level zikirise sababu ya deforestation. THINK before you type
 
Back
Top Bottom