Hzi habari hawazipendi kabisa😆😆😆[/resize]
^^ Progress on June 2018 during the sinking of the first pile
^^ Progress on December 2018 after the completion of Berth 1. Piling works for the Malindi section RoRo Terminal was in progress.
^^ Latest progress after the completion of Berth 1, Berth 2 and Malindi section of the RoRo Terminal. Concrete casting for the remaining part of the RoRo Terminal is in progress.
source source
Hiyo hata mupanue aje bado itasoma number ya bandari ya MombasaHzi habari hawazipendi kabisa😆😆😆
I presume this is dar port, right?[/resize]
^^ Progress on June 2018 during the sinking of the first pile
^^ Progress on December 2018 after the completion of Berth 1. Piling works for the Malindi section RoRo Terminal was in progress.
^^ Latest progress after the completion of Berth 1, Berth 2 and Malindi section of the RoRo Terminal. Concrete casting for the remaining part of the RoRo Terminal is in progress.
source source
Bila shaka umekasirika😆😆😆👏👏Hiyo hata mupanue aje bado itasoma number ya bandari ya Mombasa
kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji.Hiyo hata mupanue aje bado itasoma number ya bandari ya Mombasa
Hiyo sio kelele, that's a fact kila mtanzania anajuakelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji.
Sibishani na wapumbavu.Hiyo sio kelele, that's a fact kila mtanzania anajua
Umeanza tena? Mbona unapenda matusi hivi? If you can't engage someone without calling them names then you better just leave them aloneSibishani na wapumbavu.
My dear friend, mpumbavu ipo hadi kwenye Biblia takatifu. Character yangu moja ni kuwa sipendi kuficha feelings zangu. Kama nakuona unaonyesha tabia fulani lazima nikwambie na upumbavu ndio unaouonyesha.Umeanza tena? Mbona unapenda matusi hivi? If you can't engage someone without calling them names then you better just leave them alone
My dear friend, mpumbavu ipo hadi kwenye Biblia takatifu. Character yangu moja ni kuwa sipendi kuficha feelings zangu. Kama nakuona unaonyesha tabia fulani lazima nikwambie na upumbavu ndio unaouonyesha.
This is Mombasa portMy dear friend, mpumbavu ipo hadi kwenye Biblia takatifu. Character yangu moja ni kuwa sipendi kuficha feelings zangu. Kama nakuona unaonyesha tabia fulani lazima nikwambie na upumbavu ndio unaouonyesha.
Kaka watu werevu wako nchi zote. Tatizo ni kuwa yapo matatizo mengi sana nchi yetu imepitia, kiuongozi na kisera. Lakini kwa muonekano ulivyo sasa ninaweza kusema kwa uhakika kuwa tumaini la kuingia kwenye middle income economies list lipo na ni valid. Magufuli kaingia madarakani sasa ni mwaka wa nne na nina uhakika kuwa baada ya miaka kumi tukiendelea na hii drive uchumi wetu utakuwa juu zaidi. Kwa hiyo, swali uliloniuliza usiliulize sasa, liulize pale ukifika mwaka ambao tumeweka kufikia target ya kuwa uchumi wa kati.Asante kaka. Ila facts zitabaki pale pale. Na nyinyi mlio werevu Mbona mmekwama kwenye like tope la LDC? Mbona werevu wameshindwa kujinasua
Mimi sijakataa kuwa Mombasa port ina handling capacity kubwa kuliko ya Dar, lakini ukiangalia ujenzi wa upanuzi wa bandari ya Dar ndio kwanza unaendelea na Mombasa port ipo stable. Anyways, kazi inayofanyika ikiisha, handling capacity inategemewa kuwa mara tatu zaidi.This is Mombasa port
The Standard - Kenya & World News | Latest and Breaking news
Uncover Kenya's boldest stories: Politics, business, sports, and more. Breaking news delivered live. Be informed, empowered.www.google.com
And this is Dar port
Stakeholders chat ways towards improvement of central corridor performance
Trade, transport and logistics stakeholders are chatting possible ways to improve performance of the central corridor by reducing both time and cost.www.google.com
Mombasa port handled 29 million tonnes of cargo last year against Dar's 15 million tonnes during the same period. That's almost two times. Feelings peleka Mbagala
Then Wacha kuja hapa ukishakunywa konyagi quarter na kuanza matusi. Matusi hayasaidii kitu. Kama unajua vizuri kwamba Mombasa port iko na handling capacity ya juu mbona basi matusi?Mimi sijakataa kuwa Mombasa port ina handling capacity kubwa kuliko ya Dar, lakini ukiangalia ujenzi wa upanuzi wa bandari ya Dar ndio kwanza unaendelea na Mombasa port ipo stable. Anyways, kazi inayofanyika ikiisha, handling capacity inategemewa kuwa mara tatu zaidi.
Basi mjilaumu nyinyi wenyewe kwa kuwa na sera potovu na viongozi hafifu, sio kuleta feelings hapa na kuanza matusi mkiambiwa ukweliKaka watu werevu wako nchi zote. Tatizo ni kuwa yapo matatizo mengi sana nchi yetu imepitia, kiuongozi na kisera. Lakini kwa muonekano ulivyo sasa ninaweza kusema kwa uhakika kuwa tumaini la kuingia kwenye middle income economies list lipo na ni valid. Magufuli kaingia madarakani sasa ni mwaka wa nne na nina uhakika kuwa baada ya miaka kumi tukiendelea na hii drive uchumi wetu utakuwa juu zaidi. Kwa hiyo, swali uliloniuliza usiliulize sasa, liulize pale ukifika mwaka ambao tumeweka kufikia target ya kuwa uchumi wa kati.
feelings unazo wewe mwenyewe na sababu kuu ya watu kama nyie kuonyesha feelings ni kwa sababu we give you a run for your money. Na LDC status yetu bado tunafanya mambo makubwa mno. Mi wala sio muongeaji sana ila najua sindano zinakupata vizuri tu.Basi mjilaumu nyinyi wenyewe kwa kuwa na sera potovu na viongozi hafifu, sio kuleta feelings hapa na kuanza matusi mkiambiwa ukweli
Nimekutukana wewe na sio Mombasa port hilo uelewe. Na kukuita mpumbavu ni kwasababu unajaribu kutell the future. Well, you can't. Unapowatakia wenzako mabaya usiwahi kudhani kuwa Mungu husikiliza upuuzi wako. Tunafanya mambo yetu makubwa lakini hata siku moja hatusemi kuwa hata kama wakenya wakifanya vile vile hawatatufikia. Naona wazi ya kuwa ukuaji wa Tanzania ni nightmare kwako. Brace yourself for more, as I said before, we ain't playing.Then Wacha kuja hapa ukishakunywa konyagi quarter na kuanza matusi. Matusi hayasaidii kitu. Kama unajua vizuri kwamba Mombasa port iko na handling capacity ya juu mbona basi matusi?