tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Tope la ldc my ribs[emoji23][emoji23]Asante kaka. Ila facts zitabaki pale pale. Na nyinyi mlio werevu Mbona mmekwama kwenye like tope la LDC? Mbona werevu wameshindwa kujinasua
Tope la ldc my ribs[emoji23][emoji23]Asante kaka. Ila facts zitabaki pale pale. Na nyinyi mlio werevu Mbona mmekwama kwenye like tope la LDC? Mbona werevu wameshindwa kujinasua
Ninyi mbona mmekwama failed state..??Asante kaka. Ila facts zitabaki pale pale. Na nyinyi mlio werevu Mbona mmekwama kwenye like tope la LDC? Mbona werevu wameshindwa kujinasua
Kijitonyama
View attachment 1158991
Feelings peleka Mbagala kijana, Mimi usinletee za ovyo. What I don't like is double standards. Ni mara ngapi wenzako wakiongozwa na ichoboy wameleta taarifa za kukejeli kenya hapa then munashangilia? Ni taarifa ngapi za majanga na kifo kutoka Kenya yameletwa hapa tangu huu uzi uanze? Je, hiyo sio kutakia wakenya mabaya? Usijafanye huyaoni hayo. Unafiki peleka mbali nami na wala si tafadhali. Mkiambiwa ukweli mnaanza matusi. Bure kabisaNimekutukana wewe na sio Mombasa port hilo uelewe. Na kukuita mpumbavu ni kwasababu unajaribu kutell the future. Well, you can't. Unapowatakia wenzako mabaya usiwahi kudhani kuwa Mungu husikiliza upuuzi wako. Tunafanya mambo yetu makubwa lakini hata siku moja hatusemi kuwa hata kama wakenya wakifanya vile vile hawatatufikia. Naona wazi ya kuwa ukuaji wa Tanzania ni nightmare kwako. Brace yourself for more, as I said before, we ain't playing.
Huyu kijana wenu ako na feelings sana. If he can't handle the heat, he has the option to bolt out 🏃Tope la ldc my ribs[emoji23][emoji23]
Ingekuwa ni mkenya ameleta hiyo picha, angeambiwa maneno inajaza lorry nzima. Watu wa ajabu sanaMbukinya umeanza kuokota picha google
Asante kwa kuokota picha za nchi za watu😆😆😆😆😆
Ingekuwa ni mkenya ameleta hiyo picha, angeambiwa maneno inajaza lorry nzima. Watu wa ajabu sana
Tokyo kutamu sanaKijitonyama
View attachment 1158991
Hiyo picha ka-upload mkenya mwenzako hakuna mtizedi anaweza okota picha mtandaoni halafu akasema ni dar es salaam,wabongo wooote tunajitambua na tunaifurahia dar yetuIngekuwa ni mkenya ameleta hiyo picha, angeambiwa maneno inajaza lorry nzima. Watu wa ajabu sana
Kijitonyama
View attachment 1158991
This is Mombasa port
And this is Dar port
Mombasa port handled 29 million tonnes of cargo last year against Dar's 15 million tonnes during the same period. That's almost two times. Feelings peleka Mbagala
Umekosea kidogo, hiyo ni gerezani miezi nane ijayoKijitonyama
View attachment 1158991
Ni kwamba ulikua hujui Au kiburi tu[emoji5][emoji5]Mamawee..jamaa kimiundo mbinu tupo nyuma sana walai...