spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,226
Jagguar ni mpumbuvu sana, anaongea pumba bila kujua bila Tanzania Kenya iko matataniHongera kenyatta kwa kuomba msamaha kwa maandishi[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Jagguar ni mpumbuvu sana, anaongea pumba bila kujua bila Tanzania Kenya iko matataniHongera kenyatta kwa kuomba msamaha kwa maandishi[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
lazima maana hii border ikifungwa ni kwamba hamna kufanya biashara na Tanzania na nchi zoote za SADC! transportation for Kenyan goods to those countries will be a nightmare!kwa dola kuu ni lazima anyenyekee
Jagguar ni mpumbuvu sana, anaongea pumba bila kujua bila Tanzania Kenya iko matatani
Hata kabla ya kufikiria kufanya biashara na SADC watakua tayari wakenya kwa maelfu wameshakufa kwa njaa. " a hungry stomach can't fight, and hungry brains can't reason properly ".lazima maana hii border ikifungwa ni kwamba hamna kufanya biashara na Tanzania na nchi zoote za SADC! transportation for Kenyan goods to those countries will be a nightmare!
Hivi ni kwanini wakenya wakija tz tunawakalibisha mitaani kwetu na majumbani kwetu Ila sisi tukija Kenya awataki kutuonyesha wapi wanaishi bar tunakutana bar na kwenye grossary tena ukimwambia habari za kukupeleka mtaani kwao unamwona anakua very sad[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mtoto mdogo lazima umbembeleze...kw sababu hana kitu chengine zaidi ya kulia...
Vp kuhusu wavuvi haramu..mmeshaanza kuwaua kw kuwazamisha ndo ili wawe funzo kw wengine...au yule waziri alikuwa kavuta bangi ile day[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23] [emoji23]Hakuna gari inayotengenezwa kenya, labda zile za LaikipiaView attachment 1145131
Angle nzr Sana aisee
Ppf hq japo liko mbali ila linaonekana kweli pembe hua halijifichi
HALAFU KUNA WAJINGA HAPA WANASEMA KUNYALAND NI BORA KWENYE SOKA
Dar buildings are just perfect!
Kwenye mambo na barabara hamtugusi hata robo.Pembeni kuna road class AView attachment 1144781
okayKwenye mambo na barabara hamtugusi hata robo.
This is Mombasa
View attachment 1145443View attachment 1145444View attachment 1145446
Hivi ni kwanini wakenya wakija tz tunawakalibisha mitaani kwetu na majumbani kwetu Ila sisi tukija Kenya awataki kutuonyesha wapi wanaishi bar tunakutana bar na kwenye grossary tena ukimwambia habari za kukupeleka mtaani kwao unamwona anakua very sad