Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hajui km tahmeed anathamini sana soko la kenya kuliko tanzania
Hivyo ni sawa na kusema mkikuyu anathamini sana Jaluo, hakuna mtanzania atakayethamini soko la Kenya zaidi ya Tanzania, huo ulimbukeni upo huko Kenya. Wakenya wengi wamekimbia wapo nje ya nchi kutokana na rushwa, insecurity and lawlessness.
 
Sasa hiyo ni Mombasa Dar, bado ni Tanzania, wewe ulisema Mombasa Nairobi ndio anapeleka gari nzuri, vipi kampuni la Tanzania lithamini Kenya, wakati ajali kati ya Mombasa Nairobi zimezidi sana?
Yani huamini km tahmeed hathamini soko la ldc....bwahahaaa[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
 
Tuletee shule yenye viwango hivi kutoka Turkana

Yaani manthari tu ya Bukoba huwezi fananisha na uchafu unaoitwa Turkana

View attachment 1134165View attachment 1134166View attachment 1134167View attachment 1134168View attachment 1134169View attachment 1134170
Jamaa alikuwa anataja taja maeneo ya tz bila kuyajua ameishia kuuumbuka mwenyewe.

Ameitaja Bukoba eti kisa iko mbali na dar.anataka alinganishe na turkana iliyombali na Nairobi [emoji38][emoji38][emoji38]

Bukoba town wakati wa usiku
49906953_749440465420907_971491306286997866_n.jpeg
 
Tanzania ina sewage coverage ya how many percent

Asilimia kubwa Tanzania wanatumia closed sewerage system. Yaani kila mtu anakuwa na shimo lake kwenye plot yake.

Katikati ya miji (CBD) mikubwa kama Dar, Mwanza, Tanga etc wanatumia open sewerage system. Yaani kuna mabomba ya maji taka yanaelekea sewerage pond.
 
Back
Top Bottom