REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,880
Tahmeed vilevile ni ya mtu wa Tanga Tanzania company hiyoWhich are the bigger bus companies in Kenya apart from Modern Coast and Tahmeed?
Tahmeed vilevile ni ya mtu wa Tanga Tanzania company hiyoWhich are the bigger bus companies in Kenya apart from Modern Coast and Tahmeed?
Mbna dar lux wakajenga kitu chao...wacha wivu...we kubali mna book ndani ya basi...Ni lazima bus liingie stand ili likaguliwe na ndio maana mnapakiwa kwenye mafuso kama mbuzi sababu kila mtu anaweza kusafirisha abiria bila kuwa regulated, Tanzania kila bus la abiria limefungwa tracking systems mpaka speed inasomwa control room na lazima liingie stand lilipe tozo za serikali na abiria lazima waondokee stand kwanza Tanzania buses ni nyingi ushamba wa kwenda kufanya booking one or more days before ulishapitwa na wakati
Saivi mtu unaenda zako stand saa 11:30 unajichagulia gari nzuri unayoitaka mwenyewe unachagua seat yako unaingia kwenye gari dakika 10 nyingi gari imewashwa mnaondoka
Sasa wewe Unataka kuwe na sitting rooms kwenye bus terminals kwani umeambiwa hiyo ni labour ward? Watu wamekuja kupakia mabus hapo hawajaja kupoteza muda.
Cha kushangaza basi zake kali nyingi ni za mombasa nairobi...route za bongo kawapa mikangafuTahmeed vilevile ni ya mtu wa Tanga Tanzania company hiyo
Sasa nenda kaangalie kama abiria wake wanaondokea hapo au lazima waingie stand kwanzaMbna dar lux wakajenga kitu chao...wacha wivu...we kubali mna book ndani ya basi...
Kwn ni dala dala
Punguza hasiraAliekwambia nani na kujitoa vp???
Umeshaziona zinazotoka Tanga kwenda Dar? Tanga kwenda Arusha? Dar kwenda Arusha? Dar kwenda Nairobi? And viceversa?Cha kushangaza basi zake kali nyingi ni za mombasa nairobi...route za bongo kawapa mikangafu
mwenzako kaboresha huduma wewe bado unaumwa...jamaa anapiga hela kiulaini...hao ndo tunawaita wafanyibiashara wenye maonoSasa nenda kaangalie kama abiria wake wanaondokea hapo au lazima waingie stand kwanza
Tahmeed basi zake kali zote ana launch mombasa nairobi...wacha kupingana na ukwelUmeshaziona zinazotoka Tanga kwenda Dar? Tanga kwenda Arusha? Dar kwenda Arusha? Dar kwenda Nairobi? And viceversa?
Wuhuhuuu!!!umeshindwa kuleta...naona ulienda google ukakosa ndio umerudi na huu utumbo...Bila shaka umekasirika bro
Tahmeed basi zake kali zote ana launch mombasa nairobi...wacha kupingana na ukwel
Wacha nikujibu kutokana na hyo picha yako...manake naona wataka ubishi...
Tafauti ipo wapi hapo? Kwanza Tanzania gari zote kali.
Which are the bigger bus companies in Kenya apart from Modern Coast and Tahmeed?
Niaibishe basiAhahahaha usinidanganye mm coz nitakuaibisha
Hahahahaha, kwasababu hujatoka nje ya Kenya, na huwa vyombo vyenu vya habari vyote vinawajaza ujinga, vuka mpaka uje isafishe macho wewe, Kenya haina buses za kushindana na Tanzania. Hebu taja kampuni moja la buses huko Kenya lenye hadhi ya Tahmeed.Tahmeed basi zake kali zote ana launch mombasa nairobi...wacha kupingana na ukwel
Fungua uzi...Hahahahaha, kwasababu hujatoka nje ya Kenya, na huwa vyombo vyenu vya habari vyote vinawajaza ujinga, vuka mpaka uje isafishe macho wewe, Kenya haina buses za kushindana na Tanzania. Hebu taja kampuni moja la buses huko Kenya lenye hadhi ya Tahmeed.
Hajui km tahmeed anathamini sana soko la kenya kuliko tanzaniaKuna easy coach , guardian angel, mash poa etc
Sasa hiyo ni Mombasa Dar, bado ni Tanzania, wewe ulisema Mombasa Nairobi ndio anapeleka gari nzuri, vipi kampuni la Tanzania lithamini Kenya, wakati ajali kati ya Mombasa Nairobi zimezidi sana?Wacha nikujibu kutokana na hyo picha yako...manake naona wataka ubishi...
Ya mombasa daresalam naona iko na WI-FI...mbna la arusha lipo lipo tu
Taja kampuni la buses Kenya lenye hadhi ya Tahmeed, huku Tanzania, Tahmeed haipo katika Top 5.Fungua uzi...
Sasa hiyo ni Mombasa Dar, bado ni Tanzania, wewe ulisema Mombasa Nairobi ndio anapeleka gari nzuri, vipi kampuni la Tanzania lithamini Kenya, wakati ajali kati ya Mombasa Nairobi zimezidi sana?