REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,880
๐๐๐ Hawa Wakenya kitu kilichowafungua macho ni hii mitandao hasa JF kichwani kwao wanajua Tanzania ni nchi ya ajabu sana wakija kuujua ukweli wanabaki wametahamaki, Bukoba ni next levels, ni miji mingi sana ya Kenya hauwezi linganisha na Bukoba.Jamaa alikuwa anataja taja maeneo ya tz bila kuyajua ameishia kuuumbuka mwenyewe.
Ameitaja Bukoba eti kisa iko mbali na dar.anataka alinganishe na turkana iliyombali na Nairobi
Bukoba town wakati wa usikuView attachment 1134412