teledam
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 927
- 1,239
imagine unaambiwa africa nzima tz ndiyo imezungukwa na vyanzo vikubwa vya maji safi ya mito na maziwa kwa hili eti nalo tunasubiri wafadhili africa bwana na hapa utasikia wapuuzi wachache wakikuambia hatuna resouces za kuexploit haya maji jamani kweli huu ushabiki utatupeleka wapi sijuwi kila kukicha watu wanabishana mara act sijui chadema sisiyemu upuuzi mtupu
maendeleo tunayoyatamani kwa wenzetu(wazungu) ni maono na mipango ya muda mrefu badala tuige tuwe na malengo hata kama ni kwa kujikongoja watu wanawaza ufala tu wacha sisiyemu itawale kama vichwa vyenyewe ndio hivi kushinda kubishana humu kweli politicians wanawaharibu na kuwapotosha vijana mijitu inawaza ubishi tu masaa zote
maendeleo tunayoyatamani kwa wenzetu(wazungu) ni maono na mipango ya muda mrefu badala tuige tuwe na malengo hata kama ni kwa kujikongoja watu wanawaza ufala tu wacha sisiyemu itawale kama vichwa vyenyewe ndio hivi kushinda kubishana humu kweli politicians wanawaharibu na kuwapotosha vijana mijitu inawaza ubishi tu masaa zote