teledam
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 927
- 1,239
akili za zwazwa[emoji16][emoji16] wapi nimeandika mimi ni demukumbe wewe ni demu[emoji3][emoji3].
si ungesema toka mwanzo mapema tungejua namna ya kukusaidia.
anyway umeshindwa kujisaidia kimawazo mimi utanisaidia nini sasa badilikeni acheni mambo ya kike unaweza ukajikuta taratiibu unaanza kuwa choko ukiviendekeza hivi vijitabia vya kujisifia uongo na kuwa na wivu wa kike
mwanaume anajiamini na kusema kweli muda wote kama unafikiri kazi ya kuuza mazao ya chakula ni ya kike baki hivyo hivyo sina msaada na watu type yako unakaza kichwa kwa vitu straight nampa ushauri safi mtu unaleta ushoga
endelea wapo wa mombasa humu watakuona ongeza juhudi