Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kama unataka kunibadilisha uraia ni haki yako na utaweza kufanya hivyo kwenye mawazo yako tu ila kiuhalisia haitowezekana

hata hivyo sikulazimishi kuamini ninachojua wewe endelea kuamini hivyo unavyoamini kiongozi. Kwa taarifa tu nimepata bahati ya kutembelea hii miji yote dar na nair kwanza hakuna chochote cha kujivunia mnabishania upuuzi tu hapa

miji yote hii mi naona kawaida ni bora tukajadili vitu vingine mbona vya maana na vya kujenga ni vingi tu tunakomalia kubishania miji tulojengewa na wageni sijui mnaona fahari gani

mkimaliza hii mtakuja na nyuzi za kujilinganisha na misri johanesburg baadae paris na washington kabisa endeleeni tu kusapotiana uzwazwa haya ndiyo matunda ya wanasiasa wa EA
We jamaa unabahati kweli yani, maana hapa nabaki kucheka wakati nlikua nimekuandalia matarumbeta ya kukuimbia nyimbo za sifa
 
sasa kama umetembea miji yote ukaona ni kawaida,ulichokuja kushangaa hapa ni kitu gani???

mimi nilitegemea uje uandike hapa nairobi ina barabara nyingi na bora ambazo mtu hakai foreni kabisa si kama dar.

nairobi ina uchumi mkubwa hivyo maisha ni matamu sana hapo nairobi si kama dar.

simple logic hatukuiparamia joburg au cairo sababu hatuko league zao hata kwa kukaribia,ila siku ikifika utaona uzi hapa.
foreni= foleni kajifunze kiswahili kwanza urudi kuja kuendeleza huu upupu wako

sina muda mchafu wa kusifia ujinga kuna maisha gani mazuri sasa nairobi, mtakamatwa mnaosimuliwa matukio humu ya dar na nair
 
ndipo ulipo olewa siyo? siyo kila mwanaume anaolewa wengine mashababi kama mimi[emoji16] we kama unatafuta dume humu funguka watakuona tu usijigonge kwangu sitaki kuchomwa jehanamu mimi
Hapa nlikwambia nn...wazalendo hawana lingine zaidi ya mitusi...mtu mzima unatukana...ndio manake kuna baadhi ya wakenya wanawadharau sana watanzania kwamba ni zero brain..hadi sometime wengine wanapitiliza inabidi mnatetewa tu na wakenya wenye labda wenye wameshawai kufanya kazi na baadhi ya watu wenu...tena wengi husema wale waliosoma nje ya nchi ndio wako na afadhali
 
Ndio hzo zimeanza kuondoka 😆😆😆😆
Why Coca-Cola abandoned Upper Hill

TUESDAY NOVEMBER 20 2018


Coca Cola Beverages Africa managing director

Coca Cola Beverages Africa managing director Daryl Wilson during the interview at Radisson Blu on July 11, 2018. PHOTO | DIANA NGILA | NMG
In Summary
  • Coca-Cola Central East and West Africa Ltd, the regional subsidiary of the giant US beverages manufacturer, which oversees operations in 14 African countries, has moved to newly-built 90 James Gichuru office.
  • Regional general manager Ahmed Rady said the new work station provides a “more open and less formal” environment for employees as the firm focuses on diversification of products to match the needs of increasingly health-conscious consumers.
ADVERTISEMENT

CONSTANT MUNDA
By CONSTANT MUNDA
More by this Author
Soft drinks maker Coca-Cola says relocation of its regional offices from Nairobi’s Upper Hill area to Lavington is aimed at providing a modern workplace that enhances creativity and innovation among its staff.
Coca-Cola Central East and West Africa Ltd, the regional subsidiary of the giant US beverages manufacturer, which oversees operations in 14 African countries, has moved to newly-built 90 James Gichuru office.
Regional general manager Ahmed Rady said the new work station provides a “more open and less formal” environment for employees as the firm focuses on diversification of products to match the needs of increasingly health-conscious consumers.
“We want to provide our employees with the best work experience and one of the key projects, which are global, but we are working on here (in Nairobi office), is called “Workplace Vision 2020” where the space that we provide is more open, more collaborative. It also inspires creativity, innovation and is less formal and more comfortable with more hang-out places,” Mr Rady said in an interview with Smart Company.
“We started this project as a renovation of our old office, but we quickly found that because of the structure of the old office, it was not going to be ideal and we will end up having to do mixed jobs if you want to get everything that we want done.”
He said the company opted for a new office because it was looking for a work station near residences and social amenities such as schools, shopping malls and restaurants.
 
Why Coca-Cola abandoned Upper Hill

TUESDAY NOVEMBER 20 2018


Coca Cola Beverages Africa managing director

Coca Cola Beverages Africa managing director Daryl Wilson during the interview at Radisson Blu on July 11, 2018. PHOTO | DIANA NGILA | NMG
In Summary
  • Coca-Cola Central East and West Africa Ltd, the regional subsidiary of the giant US beverages manufacturer, which oversees operations in 14 African countries, has moved to newly-built 90 James Gichuru office.
  • Regional general manager Ahmed Rady said the new work station provides a “more open and less formal” environment for employees as the firm focuses on diversification of products to match the needs of increasingly health-conscious consumers.
ADVERTISEMENT

CONSTANT MUNDA
By CONSTANT MUNDA
More by this Author
Soft drinks maker Coca-Cola says relocation of its regional offices from Nairobi’s Upper Hill area to Lavington is aimed at providing a modern workplace that enhances creativity and innovation among its staff.
Coca-Cola Central East and West Africa Ltd, the regional subsidiary of the giant US beverages manufacturer, which oversees operations in 14 African countries, has moved to newly-built 90 James Gichuru office.
Regional general manager Ahmed Rady said the new work station provides a “more open and less formal” environment for employees as the firm focuses on diversification of products to match the needs of increasingly health-conscious consumers.
“We want to provide our employees with the best work experience and one of the key projects, which are global, but we are working on here (in Nairobi office), is called “Workplace Vision 2020” where the space that we provide is more open, more collaborative. It also inspires creativity, innovation and is less formal and more comfortable with more hang-out places,” Mr Rady said in an interview with Smart Company.
“We started this project as a renovation of our old office, but we quickly found that because of the structure of the old office, it was not going to be ideal and we will end up having to do mixed jobs if you want to get everything that we want done.”
He said the company opted for a new office because it was looking for a work station near residences and social amenities such as schools, shopping malls and restaurants.
lovington ni nigeria ? ...burukenge
 
Hapa nlikwambia nn...wazalendo hawana lingine zaidi ya mitusi...mtu mzima unatukana...ndio manake kuna baadhi ya wakenya wanawadhatmrau sana watanzania kwamba ni zero brain..hadi sometime wengine wanapitiliza inabidi mnatetewa tu na wakenya wenye labda wenye wameshawai kufanya kazi na baadhi ya watu wenu...tena wengi husema wale waliosoma nje ya nchi ndio wako na afadhali
hakuna cha nje ya nchi ni mijinga michache tu inayofundishwa na viongozi wao wa siasa kutetea upande upuuzi mf unaweza muelekeza mtu kitu ambacho fika unajua na una uhakika lakina jitu zima bila litatafuta sababu ya ku-justify kila anachoamini hata kama utamprove wrong ni kazi kwa kweli ila ndo taifa letu tufanyaje sasa kazi ipo
 
Why Coca-Cola abandoned Upper Hill

TUESDAY NOVEMBER 20 2018


Coca Cola Beverages Africa managing director

Coca Cola Beverages Africa managing director Daryl Wilson during the interview at Radisson Blu on July 11, 2018. PHOTO | DIANA NGILA | NMG
In Summary
  • Coca-Cola Central East and West Africa Ltd, the regional subsidiary of the giant US beverages manufacturer, which oversees operations in 14 African countries, has moved to newly-built 90 James Gichuru office.
  • Regional general manager Ahmed Rady said the new work station provides a “more open and less formal” environment for employees as the firm focuses on diversification of products to match the needs of increasingly health-conscious consumers.
ADVERTISEMENT

CONSTANT MUNDA
By CONSTANT MUNDA
More by this Author
Soft drinks maker Coca-Cola says relocation of its regional offices from Nairobi’s Upper Hill area to Lavington is aimed at providing a modern workplace that enhances creativity and innovation among its staff.
Coca-Cola Central East and West Africa Ltd, the regional subsidiary of the giant US beverages manufacturer, which oversees operations in 14 African countries, has moved to newly-built 90 James Gichuru office.
Regional general manager Ahmed Rady said the new work station provides a “more open and less formal” environment for employees as the firm focuses on diversification of products to match the needs of increasingly health-conscious consumers.
“We want to provide our employees with the best work experience and one of the key projects, which are global, but we are working on here (in Nairobi office), is called “Workplace Vision 2020” where the space that we provide is more open, more collaborative. It also inspires creativity, innovation and is less formal and more comfortable with more hang-out places,” Mr Rady said in an interview with Smart Company.
“We started this project as a renovation of our old office, but we quickly found that because of the structure of the old office, it was not going to be ideal and we will end up having to do mixed jobs if you want to get everything that we want done.”
He said the company opted for a new office because it was looking for a work station near residences and social amenities such as schools, shopping malls and restaurants.
Lavington
Description
Lavington is a suburb of Nairobi, Kenya. It is a high-income residential estate located northwest of the city centre. Lavington belongs to the Westlands administrative division of Nairobi.
 
foreni= foleni kajifunze kiswahili kwanza urudi kuja kuendeleza huu upupu wako

sina muda mchafu wa kusifia ujinga kuna maisha gani mazuri sasa nairobi, mtakamatwa mnaosimuliwa matukio humu ya dar na nair

unaweza chukua muda wako kufanya shughuli nyigine mbali na hii!!!!???
 
Hapa nlikwambia nn...wazalendo hawana lingine zaidi ya mitusi...mtu mzima unatukana...ndio manake kuna baadhi ya wakenya wanawadharau sana watanzania kwamba ni zero brain..hadi sometime wengine wanapitiliza inabidi mnatetewa tu na wakenya wenye labda wenye wameshawai kufanya kazi na baadhi ya watu wenu...tena wengi husema wale waliosoma nje ya nchi ndio wako na afadhali
ni aibu ila ndo ujue sasa anachokiandika mtu ndo kilichoujaza moyo,akili yake. hivi kumtukana mtu eti kwa hoja tu tena ya kutetea sijui miji si ni ugonjwa kabisa ila waache hapa wanajitia viherehere kutukana watapona vichaa
 
Hapa nlikwambia nn...wazalendo hawana lingine zaidi ya mitusi...mtu mzima unatukana...ndio manake kuna baadhi ya wakenya wanawadharau sana watanzania kwamba ni zero brain..hadi sometime wengine wanapitiliza inabidi mnatetewa tu na wakenya wenye labda wenye wameshawai kufanya kazi na baadhi ya watu wenu...tena wengi husema wale waliosoma nje ya nchi ndio wako na afadhali
kama sisi tunavyowadharau kwenye mambo ya kawaida kabisa.

watu na akili timamu mnakufa njaa[emoji23][emoji23][emoji23],akili mnazitumia wapi??
 
Hapa nlikwambia nn...wazalendo hawana lingine zaidi ya mitusi...mtu mzima unatukana...ndio manake kuna baadhi ya wakenya wanawadharau sana watanzania kwamba ni zero brain..hadi sometime wengine wanapitiliza inabidi mnatetewa tu na wakenya wenye labda wenye wameshawai kufanya kazi na baadhi ya watu wenu...tena wengi husema wale waliosoma nje ya nchi ndio wako na afadhali
1130467


huku ndio upper hill kaka, na ishitoshe hii sio CBD ni pembeni tu mwa jiji la nairobi.. mna vidude kama hivi dar? ama ni zile nyumba mbili huwa mnashinda mki post kila mara
 
ningeona wasichana ama wamama wanabishania haya mambo ningechukulia tu poa ila sasa wanaume wa dar na nairobi tabia za kina dada zimehamia kwenu ni aibu wanaume kusutana badala ya kujengana poor you people
 
nilitaka nikujuze kwamba usitupangie cha kufanya hapa,

au kuna kitu kingine unatafuta???
natafuta mabinti wazuri kutoka pande zote nairobi na dar nikajua nitapata humu kumbe ni midume mnabishania ukwaju anyway bado nina imani watakuja kwahiyo nawasubiri
 
Back
Top Bottom