Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wajemeni mimi ni mtanzania kulinganisha nairobi na dar ni kutaka sifa ambazo hakuna kiukweli wametuacha mbali mno wala tusibishane..tulinganishe vitu vingine tujifunze kukubali na kuwa wakweli labda si tuwatambie mahindi mchele hizo hawana ila miundombinu na majengo waache kabisa hatuwafikii kabisa huo ndo ukweli kwa sasa
 
wajemeni mimi ni mtanzania kulinganisha nairobi na dar ni kutaka sifa ambazo hakuna kiukweli wametuacha mbali mno wala tusibishane..tulinganishe vitu vingine tujifunze kukubali na kuwa wakweli labda si tuwatambie mahindi mchele hizo hawana ila miundombinu na majengo waache kabisa hatuwafikii kabisa huo ndo ukweli kwa sasa
Umeshafika Nairobi na ukatembea?
 
wajemeni mimi ni mtanzania kulinganisha nairobi na dar ni kutaka sifa ambazo hakuna kiukweli wametuacha mbali mno wala tusibishane..tulinganishe vitu vingine tujifunze kukubali na kuwa wakweli labda si tuwatambie mahindi mchele hizo hawana ila miundombinu na majengo waache kabisa hatuwafikii kabisa huo ndo ukweli kwa sasa
Haha umetokea kijiji gani?watu mmechoka sana
 
izo changeover tu za hapo town tayari ni kitu ingine kabisa wacha izo road nanenane tujifunze kuukubali ukweli jamaa wametutangulia kushindwa kukubali hili ni wivu mbona kuna vitu kibao tumewaacha na inajulikana tunakazana eti miundombinu na majengo hata nusu hatuwakamati tukae na liserikali letu linashindwa kuwa na miundo mbinu wakati tuna rasilimali mara 1000 ya wakenya
 
tungepata utawala safi yaani hiyo nairobi tungelikuwa tunaifananisha na miji kama ndanda mathalani lakini kwa sababu ya ujuha wacha tubaki hivi eti mtu anaamini kabisa dar imejengeka kuliko nairobi baki ivo ivo siyo lazima uamini ila siku ikifika utakubali mwenyewe
 
wajemeni mimi ni mtanzania kulinganisha nairobi na dar ni kutaka sifa ambazo hakuna kiukweli wametuacha mbali mno wala tusibishane..tulinganishe vitu vingine tujifunze kukubali na kuwa wakweli labda si tuwatambie mahindi mchele hizo hawana ila miundombinu na majengo waache kabisa hatuwafikii kabisa huo ndo ukweli kwa sasa
Watanzania hatuumii wajemeni!
 
Watanzania hatuumii wajemeni!
baki hivo hivo sitafuti sifa wala sisifii wakenya ila ukweli wenyewe ndo huo sitaki kujivisha sifa za uongo eti dar imeizidi nairobi ni uongo hata Mungu hapendi tembea uone mkali achana na porojo za watu wengi wanagugo picha wanatupia nenda kashuhudie mwenyewe utuletee mrejesho humu siyo kila mahali ni pazuri nairobi ila kwa sehemu zilizojengwa zimejengeka hasa mbona hata wao wana mapungufu kibaaao kwa mfano mapishi sufuri yani amna kila kitu
 
misosi ya kubangaiza ghali kinoma mamanze zao wengi wachafu na washamba ila hili la miundombinu give em a brake man hatuwafikii
 
kwani umeambiwa sina cha kufanya
Kweli kabisa bro...wao hutaka kuikosoa nairobi kisa kibera...watu huaga hawafanyi comparison kihivo...waangslie pia na mazuri ya nairobi sio ji mtu linakomalia na mapungufu ya mwenzie hku akijilinganisha na mazuri ya kwake...

Asante sana kw kuusema ukwel...ila kw hilo ukubali kutukanwa..nakwambia wazalendo wakija hapa utavuliwa mpka uraia
 
Geza unatema povu...na mwenzio kaamua kuusema ukwel...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
shauri zao maendeleo hayaletwi kwa chuki wala kusema uongo bali maono na mipango sijui waliiba akili zetu imagine mpaka leo tunawaza kuja kuendelezewa miundombinu na wageni chinese people sijui tutasonga lini
 
shauri zao maendeleo hayaletwi kwa chuki wala kusema uongo bali maono na mipango sijui waliiba akili zetu imagine mpaka leo tunawaza kuja kuendelezewa miundombinu na wageni chinese people sijui tutasonga lini
Kweli kabisa...yani wengine hapa jf wapo kishabiki...
 
Kweli kabisa bro...wao hutaka kuikosoa nairobi kisa kibera...watu huaga hawafanyi comparison kihivo...waangslie pia na mazuri ya nairobi sio ji mtu linakomalia na mapungufu ya mwenzie hku akijilinganisha na mazuri ya kwake...

Asante sana kw kuusema ukwel...ila kw hilo ukubali kutukanwa..nakwambia wazalendo wakija hapa utavuliwa mpka uraia
siogopi mtu kwenye kusema ao raia ndo kina nani kuna pimbi ananilisha

mashariki ya kati wanalisha dunia nzima kwa matunda wakati lilikuwa jangwa sisi tuna mito maziwa bahari ati tunasubiri muisrael aje atufundishe kilimo cha kisasa

umaskini wa upeo ni dhambi kubwa sana
 
Kweli kabisa...yani wengine hapa jf wapo kishabiki...
kumbuka hata uipige vita dar au nairobi siyo ndo kuendeleze sehemu nyingine weka facts zinazokubalika atayepinga labda atakuwa na lake ila kusema unalalia godoro kwako wakati unaangusha kwenye bonge la mkeka kila siku siyo kwamba ndiyo uzalendo ni unafiki tu na kussapoti wanasiasa uchwara na kwa hili hatuwezi songa
 
Back
Top Bottom