TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,087
- 3,392
Hahahahaaa
Hua wanajifanya wao wanaakili sana kuliko wengine😆😆😆😆Hahahahahaaa ngoja tuone mwisho wa uhuni unakuajee!!!hahahahahàaView attachment 1102560
Majirani naona safari hii wanadondokea pua😆😆😆😆😆HahahahaaaView attachment 1102564
Hahahaha subiri waje wajitunishe vifuaMajirani naona safari hii wanadondokea pua![]()
Just don't mess with Arabs, those people wameenda milembe, those people are crazyHahahahaaaView attachment 1102564
HahahahaaaView attachment 1102564
😀 Hakuna cha kuwapongeza hapo, huo ni utapeli wa kishamba sana. Ingetakiwa wawachezee chezo moja ambalo wangeshindwa hata kunyanyua mdomo kuwalaumu.Hili jambo limekuwa kubwa kiasi hichi duh sasa naona Kenya na Nigeria wanakimbizana kwenye matukio ya wizi
Bt hongereni now ni wakati wa waafrica kuwaliza waarabu
Acha nao wapigwe, hivi wameshindwaje kuja Tanzania kuchukua dhahabu kwenye masoko yetu? Kenya toka lini wakawa na dhahabu, ni kweli walikuwa ni wauzaji wazuri wa dhahabu East Africa kutoka Tanzania lakini that's the history.Hahahahahaaa ngoja tuone mwisho wa uhuni unakuajee!!!hahahahahàaView attachment 1102560
Hii picha ya Sumbawanga huwa inaivua nguo Dar na miji mingine linapokuja ishu ya mipango miji,kama swax imepangika vizuri na watu wakajenga hizo dream house zao za corrugated iron sheets kwa nn Dar the whole city z slum afu watu wanajitetea et unplanned settlement!Sumbawanga
View attachment 1100807
Kumbe na wewe unapenda mpangilio,kilichosababisha msipange the whole dar is slum ni nn hadi inaita unplanned sijui informal settlements wakati you know for sure that yr city a mega slum? Pangeni miji afu ndo mjenge hizo dream house zetu.Kwanza angalia nyumba zilivopangwa budaa👏👏👏👏👏
Mimi kwenye vitu vya msingi huwa sina shida Niko positive tuu,promotion of lake ngozi has started all over Mbeya there posters of this lake along with words like the second biggest crater lake in africa na niliona pale airport ya songwe
NYANGAU WANAMCHEZEA MWARABU SHARUBUU, MKAE MKIJUA HAMNA CHA BUREHahahahahaaa ngoja tuone mwisho wa uhuni unakuajee!!!hahahahahàaView attachment 1102560
Nilipoona hiyo picha nilitaka kusema cbd ya nai inakalibia Kwa ukubwa cbd ya dar Kwa asilimia 60Nani kasema hapo ni Nairobi au dar?
Turuu turuuu turuu hapo john bichwa nampongeza na kumtaka afanye zaidi kudhibiti Kenya maana wezi wanao ihibia tz wanajificha Kenya na kuwekeza kenyaAcha nao wapigwe, hivi wameshindwaje kuja Tanzania kuchukua dhahabu kwenye masoko yetu? Kenya toka lini wakawa na dhahabu, ni kweli walikuwa ni wauzaji wazuri wa dhahabu East Africa kutoka Tanzania lakini that's the history.
Bye bye tourism👏👏👏👏😆😆