ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Lakini cha ajabu nilishangaa kuskia nairobi kuna fire station mbili😆😆😆
Lakini cha ajabu nilishangaa kuskia nairobi kuna fire station mbili😆😆😆
Lakini cha ajabu nilishangaa kuskia nairobi kuna fire station mbili![]()




hayo ndiyo mambo ya mega citycrater lake mt kenya
Jamaa wametoa tsh trillion 4.1AfDB ndio mpango mzima halafu tunaelewana kichizi, mpunga waliotoa kwenye projects mbali mbali hata WB pumbavu zao hawaoni ndani.
Lake Ngozi is the second largest crater lake in Africa, hizo dimbwi za mt kenya watu hawazijui, nenda kapromotecrater lake mt kenya
View attachment 1102166
Vipi maji mmeuza?crater lake mt kenya
Na bado mpunga mwingine wataumimina zaidi soon
Kukopa raha sanaNa bado mpunga mwingine wataumimina zaidi soon
mda wa kurejesha ndio majanga
hii building wakenya waiache tu, it stands alone..Kitu kinang’aa sana hiki . Zoomed with a phone from Mlimani City .
View attachment 1102314
View attachment 1102315
View attachment 1102316
Kama mtoni arifKitu kinang’aa sana hiki . Zoomed with a phone from Mlimani City .
View attachment 1102314
View attachment 1102315
View attachment 1102316
254 wanaliita The giantKitu kinang’aa sana hiki . Zoomed with a phone from Mlimani City .
View attachment 1102314
View attachment 1102315
View attachment 1102316
Yasss!Kitu kinang’aa sana hiki . Zoomed with a phone from Mlimani City .
View attachment 1102314
View attachment 1102315
View attachment 1102316
😂😂😂 Wale Washenzi hawakupi mpunga mpaka wajue una muscles za kuulipa, sasa Tanzania wanaiona ina potential nyingi huko mbele kama tourism, East African pipeline kutoka Uganda, natural gas na minerals nyingine, bandari etc kwa hiyo wanajua hapa mpunga upoKukopa raha sana![]()
![]()
mda wa kurejesha ndio majanga
Yeah uko sahihi...uwezo wa kurejesha upo,Na vp hayo mabenk hutoa wap fedha? Vyanzo vyao ni vp hasaWale Washenzi hawakupi mpunga mpaka wajue una muscles za kuulipa, sasa Tanzania wanaiona ina potential nyingi huko mbele kama tourism, East African pipeline kutoka Uganda, natural gas na minerals nyingine, bandari etc kwa hiyo wanajua hapa mpunga upo
Ni government organisations kubwa za kimataifa ndio yanayoweka fedha kwenye hizi Bank kama AfDB ili ziwe circulated kwa borrowers, mfano hii AfDB ilianzishwa miaka mingi 1950s na OAU kwa nia ya kuwezeshana nchi za kiafrika lakini baadae masharti yakabadilika tukaingiza nchi nyingine nje ya Africa ili zimwage mpunga sababu demand ni kubwa kuliko supply ya bankYeah uko sahihi...uwezo wa kurejesha upo,Na vp hayo mabenk hutoa wap fedha? Vyanzo vyao ni vp hasa
Hapa nimepata darasa safi kabisa, shukran!!Ni government organisations kubwa za kimataifa ndio yanayoweka fedha kwenye hizi Bank kama AfDB ili ziwe circulated kwa borrowers, mfano hii AfDB ilianzishwa miaka mingi 1950s na OAU kwa nia ya kuwezeshana nchi za kiafrika lakini baadae masharti yakabadilika tukaingiza nchi nyingine nje ya Africa ili zimwage mpunga sababu demand ni kubwa kuliko supply ya bank
Hapo ndio UK, USA, Japan, France, Germany Italy etc nao wakaingiza pesa kwenye Bank ili kukuza equities na bonds kwa wingi na kuiwezesha kutoa loans vizuri at the same time wanamake profits
WB ilianzishwa baada ya world war ll ili kurecover athari za machafuko baadae ikawekwa kwaajili ya nchi masikini nayo equity yake ipo hivyo hivyo tu kama AfDB ni business tu ila WB Rais wa US ndio mwenye maamuzi makubwa, huku AfDB wapo wenye maamuzi kwenye board of directors wenye hisa kubwa, Nigeria anaongoza.