Richard irakunda
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 3,659
- 4,386
Habari ya lini hii na fafanua zaidi
Habari ya leo hio project ya agriculture hio bro tunataka kufanya kilimo cha biasharaHabari ya lini hii na fafanua zaidi
Hiyo pesa inatolewa na serikali wanapewa wananchi walime au serikali yenyewe ndio inalima?Habari ya leo hio project ya agriculture hio bro tunataka kufanya kilimo cha biashara
Uchiboy hii vidoe ni about wewe
hii city itakuja kuwa tishio africa....
World Bank walishatoa $150M kwa project ya kuweka standard infrastructure Southern CircuitKwa route mpya ya airtanzania ya Dar Iringa naona tayari Ruaha NP inaanza kufunguka pamoja na Kitulo NP. Mbeya kuna Lake Ngozi inabidi serikali ifanye kitu kuipa promo zaidi.
Kama jinsi video inavyoelezea na jinsi ulivyomjibu + yeye kujiona ana akili na kusema wengine hawana akili tayari jibu linaonekana. Pia ajue WaTZ wameanzisha jamii forum kujiuliza mambo wanayofanya kama yako sawaKwa bahat nzuri Hawajaniandika jina langu hapo, very sorry 👏👏👏👏
Walivyo wasenge hata sio jupiter league ni Jupiler LeagueHawa mbwa sijui huwa Wana akili gani aisee View attachment 1101481
Hawa watu ni kama dunia ishawaelemea hawana budi kua wehu😆😆😆😆Hawa mbwa sijui huwa Wana akili gani aisee View attachment 1101481
2019...unreasonable....this is 2019...wuhuhuuuu....rudini kw battle ya barabara wasee wa 12000km...
bwahahaaaa



Kwa route mpya ya airtanzania ya Dar Iringa naona tayari Ruaha NP inaanza kufunguka pamoja na Kitulo NP. Mbeya kuna Lake Ngozi inabidi serikali ifanye kitu kuipa promo zaidi.