Mungu saidia wakenya ๐๐๐ wapi GDPMaana Una ugumu wa kwelewa lazima maneno yawe mengi .
Leta evidence kwamba Sonko ameiba Mali ya Umma ,kama Ile evidence ya CAG ,Umma ulipoteza 1.5 trillion.Ahahhaa wewe unaona nn hio![]()
Hakuna sehemu serekali ya tanzania imepoteza 1.5 trillion hakuna na hutapataLeta evidence kwamba Sonko ameiba Mali ya Umma ,kama Ile evidence ya CAG ,Umma ulipoteza 1.5 trillion.
shua mkuuLakini pia nadhani kuna haja ya kuandaa ideas halafu zifikishwe kwa wahusika, kwa mfano hili uliloongea mkuu ni point kubwa sana coz kama uliifuatilia project ya New Kigamboni inafafanua kwamba Jiji la kitalii, kwa maana hiyo that Idea is quiet cool, lkn shida pale ni lile li ferry maji yanachafuka n bad smell too, how will that be solved? Halafu pia nime note humu ndani kuna watu wana idea kubwa sana big up Tz
ni kweli mkuu ile ferry hainogi inaharibu movement za ubora kwa harufu za shomboNiliwahi kusoma gazetini kuwa kwanza wanataka kuhamisha soko la samaki coz moshi huwa unaenda hadi state house. Pesa inaongea.... ikiwepo pesa hilo eneo linaweza kuwa transformed vizuri sana, haijalishi matatizo yaliyopo sasa tena ikiwepo ferris wheel hapo, future Kigamboni financial city kutakuwa na view nzuri sana. Nitajaribu kuchora idea yangu then nitapost pic๐๐
Tear Gass(nafikiri ni code +254) kaanzisha uzi wa barabara za Tanzania vs Kenya. Tumewachapa kwa network nzuri nchi nzima. Wao hawana kitu. Wameweza kuongoza kiduchu kwa mjini Nairobi hasa kwenye makutano na barabara yao moja ya Thicka,ambayo imerudiwa mara 600 kuwekwa kwenye huo uzi.



hiyo ndiyo barabara yao kuu yakuishow kwani huwa hawanaga nyingine kikubwa wazoee hao ndiyo wazee wa thika high way. ukimaliza hapo kote ni chaka
View attachment 1097668View attachment 1097669View attachment 1097670View attachment 1097671View attachment 1097672View attachment 1097673View attachment 1097674View attachment 1097675View attachment 1097676View attachment 1097677View attachment 1097678View attachment 1097679View attachment 1097680View attachment 1097681View attachment 1097682View attachment 1097683View attachment 1097684View attachment 1097685


maguriko hadi kwenye mataaa duuhthis is 2019...wuhuhuuuu....rudini kw battle ya barabara wasee wa 12000km...maguriko hadi kwenye mataaa duuh
Hakuna sehemu serekali ya tanzania imepoteza 1.5 trillion hakuna na hutapata
Au unafkiri kununua ndege 6 kwa pamoja is a joke au tulipewa ndege bure๐๐
Soma hiii ๐๐๐๐๐๐๐๐
Inaonesha CAG hukumuelewa au nikueleweshe kidogo alisema 1.5 trillion zilitumika nje ya budget iliokusudiwa na zilitumiaka kwa mamalaka ya rais kama emergency budget na ndio zilinunua ndege na malipo ya awali ya SGRkwhyo watanzania wamuani nani...CAG au kibaraka wa ccm jichoboy
Hii ndio zawadi Mungu aliwapa ๐๐๐๐kwhyo watanzania wamuani nani...CAG au kibaraka wa ccm jichoboy
kwhyo watanzania wamuani nani...CAG au kibaraka wa ccm jichoboy
Msimbazi river plan kaa mkao wa kula๐๐Okay ila hujanieleza hio wizara kazi yake ni nini?.
Sonko alipata hela kabla akue mbunge wa makadara ,he was wealthy before he joined politics .
Report ya last yr hyo, tushasogea zaidi ya 1000+km meza upepothis is 2019...wuhuhuuuu....rudini kw battle ya barabara wasee wa 12000km...
bwahahaaaa