Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Central Park, Nairobi
cent.jpg
 
ichoboy..wacha kunidanganya hapa...CAG kasema matumizi yake hayajulikani...usitake kujichanganya...sasa km matumizi yake hayyajulikani ziko wapi...
 
yani dar 2019 watu wanaogelea mpka raha...mafuriko hatari...

watu wa 12000km...kujeni kule kwa thread ya barabara muone km vi emojis vitawasaidia...bwahahaaa....
 
ichoboy..wacha kunidanganya hapa...CAG kasema matumizi yake hayajulikani...usitake kujichanganya...sasa km matumizi yake hayyajulikani ziko wapi...
Tanzania hakuna ufisadi hayo mambo yapo Kenya tu hizo pesa zimetumika kihalali kabisa.
 
ichoboy..wacha kunidanganya hapa...CAG kasema matumizi yake hayajulikani...usitake kujichanganya...sasa km matumizi yake hayyajulikani ziko wapi...
Kwan mm nakwambia nn hapa nimekwambia haikutekelezwa ndani ya budget kwa sababu rais alitumia mamlaka yake kama emergency budget kununua ndege na kujenga modern electric rail in africa cash deal
 
Unafikiri basi hawajui wanajua sema tu ni vichwa vigumu
Kwan mm nakwambia nn hapa nimekwambia haikutekelezwa ndani ya budget kwa sababu rais alitumia mamlaka yake kama emergency budget kununua ndege na kujenga modern electric rail in africa cash deal
 
Inaonesha CAG hukumuelewa au nikueleweshe kidogo alisema 1.5 trillion zilitumika nje ya budget iliokusudiwa na zilitumiaka kwa mamalaka ya rais kama emergency budget na ndio zilinunua ndege na malipo ya awali ya SGR
Alisema zilitumika nje ya budget na hazijulikani zilifanya kazi ipi,Bunge lenu dhaifu kazi ni kupiga tu makofi haliwezi likahoji serikali kuu inapoibia umma.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Kwan mm nakwambia nn hapa nimekwambia haikutekelezwa ndani ya budget kwa sababu rais alitumia mamlaka yake kama emergency budget kununua ndege na kujenga modern electric rail in africa cash deal
bwahahaaa...kwani CAG kashindwa na nn kusema hvo unavyosema......kwahyo umeamua kumsemea CAG...
bwahahaaa...sasawa msemaji wa ofisi ya CAG
 
bwahahaaa...kwani CAG kashindwa na nn kusema hvo unavyosema......kwahyo umeamua kumsemea CAG...
bwahahaaa...sasawa msemaji wa ofisi ya CAG

Kwan CAG alisema pesa zimeibiwa niletee link kua CAG alisema pesa zimeibiww ukipata nitag mm nifunge jamii forum sasa hvi👏👏👏👏
 
Back
Top Bottom