Nimkimbilie nani
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 6,237
- 6,610
Na hii ndio kenya ya 2019😆😆😆👇👇👇Hii ndio Tanzania mpya sio Ile ya 90s.View attachment 1096702View attachment 1096703View attachment 1096704
Nyang'au walisema hizi ni ndoto Za mchana [emoji3][emoji3]hasa sijui wanakwama wapi. ..[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] june china july south africa
Hii ndio Tanzania mpya sio Ile ya 90s.View attachment 1096702View attachment 1096703View attachment 1096704
Hii tinaita kampa kampa tenaNa hii ndio kenya ya 2019[emoji38][emoji38][emoji38][emoji116][emoji116][emoji116]
Uozo wa bata
View attachment 1096735View attachment 1096736View attachment 1096737View attachment 1096738View attachment 1096739View attachment 1096740View attachment 1096741View attachment 1096742View attachment 1096743View attachment 1096744View attachment 1096745View attachment 1096746View attachment 1096747View attachment 1096748View attachment 1096749View attachment 1096750View attachment 1096751View attachment 1096752View attachment 1096753View attachment 1096754
😆😆😆😆😆Hii tinaita kampa kampa tena
unajua hiyo waterfront hapo mbele wanaweza kuifanyia kitu cha maana? kwa upande wangu naona wasijenge daraja maana likijengwa daraja hapo litakuwa refu sana ili kupitisha meli za mizigo chini. Pesa ikiwepo na investment ikiwezekana mi naona wajenge tunnel halafu hapo kwenye lighthouse wangeweka kitu kama Ferris wheel kama London eye, patakaa poa sana yaani ni kivutio na pia kitaingiza pesa. Singapore, london, Las vegas, Tokyo wamefanya hivyo na kiukweli hawajakoseaView attachment 1096808
Hapa JPM akiishahamia Chamwino apige daraja la adabu kuunganisha Kigamboni na CBD alafu unapita Barack Obama Drive straight to New Salender Bridge.
Siku hizi sihitaji kuwajibu hawa jamaa kuna jeshi la kufa mtu humu ndani! 👏Hii tinaita kampa kampa tena
Zamani nilikuwa najiuliza hivi huchoki kubishana na hawa jamaa maana kweli ulikuwa peke yako.Siku hizi sihitaji kuwajibu hawa jamaa kuna jeshi la kufa mtu humu ndani! 👏
Hahaha walikuwa wananichangia saahii wanachangiwa!Zamani nilikuwa najiuliza hivi huchoki kubishana na hawa jamaa maana kweli ulikuwa peke yako.
View attachment 1096808
Hapa JPM akiishahamia Chamwino apige daraja la adabu kuunganisha Kigamboni na CBD alafu unapita Barack Obama Drive straight to New Salender Bridge.
Lakini pia nadhani kuna haja ya kuandaa ideas halafu zifikishwe kwa wahusika, kwa mfano hili uliloongea mkuu ni point kubwa sana coz kama uliifuatilia project ya New Kigamboni inafafanua kwamba Jiji la kitalii, kwa maana hiyo that Idea is quiet cool, lkn shida pale ni lile li ferry maji yanachafuka n bad smell too, how will that be solved? Halafu pia nime note humu ndani kuna watu wana idea kubwa sana big up Tzunajua hiyo waterfront hapo mbele wanaweza kuifanyia kitu cha maana? kwa upande wangu naona wasijenge daraja maana likijengwa daraja hapo litakuwa refu sana ili kupitisha meli za mizigo chini. Pesa ikiwepo na investment ikiwezekana mi naona wajenge tunnel halafu hapo kwenye lighthouse wangeweka kitu kama Ferris wheel kama London eye, patakaa poa sana yaani ni kivutio na pia kitaingiza pesa. Singapore, london, Las vegas, Tokyo wamefanya hivyo na kiukweli hawajakosea
Singapore
View attachment 1096844View attachment 1096845View attachment 1096846
Niliwahi kusoma gazetini kuwa kwanza wanataka kuhamisha soko la samaki coz moshi huwa unaenda hadi state house. Pesa inaongea.... ikiwepo pesa hilo eneo linaweza kuwa transformed vizuri sana, haijalishi matatizo yaliyopo sasa tena ikiwepo ferris wheel hapo, future Kigamboni financial city kutakuwa na view nzuri sana. Nitajaribu kuchora idea yangu then nitapost pic😀😎Lakini pia nadhani kuna haja ya kuandaa ideas halafu zifikishwe kwa wahusika, kwa mfano hili uliloongea mkuu ni point kubwa sana coz kama uliifuatilia project ya New Kigamboni inafafanua kwamba Jiji la kitalii, kwa maana hiyo that Idea is quiet cool, lkn shida pale ni lile li ferry maji yanachafuka n bad smell too, how will that be solved? Halafu pia nime note humu ndani kuna watu wana idea kubwa sana big up Tz
Hili jambo lilikua wazi sana kwa mwenye akili. Sasa hivi Uganda haina sababu ya kukopa pesa za kujenga SGR, bora wanunue meli zinazoingiza mabehewa ya SGR ya mizigo ili wafikishe Mwanza.