Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tear Gass(nafikiri ni code +254) kaanzisha uzi wa barabara za Tanzania vs Kenya. Tumewachapa kwa network nzuri nchi nzima. Wao hawana kitu. Wameweza kuongoza kiduchu kwa mjini Nairobi hasa kwenye makutano na barabara yao moja ya Thicka,ambayo imerudiwa mara 600 kuwekwa kwenye huo uzi.
kichapo cha mbwa koko hadi wamechakaa
 
Not 2019,get your facts right, meanwhile Tanzania of may 2019
FB_IMG_1557776662894.jpeg
FB_IMG_1557776672459.jpeg
FB_IMG_1557747604635.jpeg
FB_IMG_1557837601381.jpeg
FB_IMG_1557837691110.jpeg
FB_IMG_1557837653039.jpeg
 
Not 2019, tuusani: hua unapenda ukweli mbona unakubali kuingia kingi na ichoboy? Hizo photos ni 2015 under governor Kidero and this is 2019 under Sonko ,huo ujinga wa mafriko haupo Nairobi tena.
Eti enhhh mkipewa ukwei hamutaki munataka kudanganya watu munafkiri sisi ni wazungu mutakaa kusema uongo😆😆😆
 
Not 2019, tuusani: hua unapenda ukweli mbona unakubali kuingia kingi na ichoboy? Hizo photos ni 2015 under governor Kidero and this is 2019 under Sonko ,huo ujinga wa mafriko haupo Nairobi tena.
Hakuna mafuriko bcz mshaambiwa mvua iko Tz
 

Attachments

  • FB_IMG_1557837601381.jpeg
    FB_IMG_1557837601381.jpeg
    58.9 KB · Views: 24
Ndo hizo tu ulizonazo? maana naona unajaza page ya uzi kwa vitu visivyo na maana. Unadhani dunia nzima ni Dar tu ndo huwa kuna maafuriko? hata London na Paris huwa kunatokea maafuriko na sio kwa sababu eti ni umasikini? nah! ni poor drainage systems ambazo ni za hali ya chini for both of our cities sasa nashangaa unavyoweka hizo picha hapo ukidhani kuwa nairobi is any better.
 
Back
Top Bottom