Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haliwezi kutatuliwa chini ya uongozi wa Yule sharobaro yeye kazi kuu yuaifanya ni kutafuta Kiki tu, Dar yahitaji kiongozi sio yule mzee.
Iko chini ya wizara ya ujenzi na uchukuzi ikisimamiwa Na TAMISEMI yeye kazungumza tu maana ni mradi ndani ya mkoa anaongoza
 
BTW hii reli inafika Mwanza! Nimeskia kuna mkopo wa WB about to be issued for the remaining sections! Mganda amewadindia!
Hawa mbona wanapishana lugha?, huyu wa Uganda anazungumzia kwamba Uganda haitojenga SGR hadi Kenya wafikishe SGR yao Mpakani/Malaba, huyu Zuzu wa Kenya anazungumzia gharama za kukarabati reli ya Zamani na kuunganishwa kwa reli ya zamani na SGR hapo Naivasha, hii maana yake Kenya inaiambia UGANDA kwamba SGR haifiki Malaba kwahiyo hakuna SGR kutoka Mombasa hadi Kampala.
 
Uongozi wa Sonko huwezi ukaulinganisha na makonda,we vipi? Tembea Nairobi uyaone maajabu anayoyafanya Sonko.

Nitembee mara ngapi uozo mtupu hakuna mtu mpuuzi na hafanyi lolote kama sonko yeye scandle zake ni corruption na wizi wa pesa za umma😆😆😆😆
 
Hawa mbona wanapishana lugha?, huyu wa Uganda anazungumzia kwamba Uganda haitojenga SGR hadi Kenya wafikishe SGR yao Mpakani/Malaba, huyu Zuzu wa Kenya anazungumzia gharama za kukarabati reli ya Zamani na kuunganishwa kwa reli ya zamani na SGR hapo Naivasha, hii maana yake Kenya inaiambia UGANDA kwamba SGR haifiki Malaba kwahiyo hakuna SGR kutoka Mombasa hadi Kampala.

Unajua kenya ilishaingia kwenye shimo la choo na sasa ishapoteza mabilioni ya pesa amabayo ni loan na waganda washajua kua sgr ya kenya ni white elephant😆😆😆
 
Nitembee mara ngapi uozo mtupu hakuna mtu mpuuzi na hafanyi lolote kama sonko yeye scandle zake ni corruption na wizi wa pesa za umma
Leta evidence kwamba Sonko ameiba Mali ya Umma, kila mara nakwambia uwache story za kijiweni mlizo ambiwa na Babu na Bibi zenu hausikii.
 
Back
Top Bottom