Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tuusan, nadhani hapo unawazo, ila ntakukosoa kidogo, hivi vitu vyote unaona vikifanyika Kenya vimewekwa kwenye blueprint ya Vision 2030, na kila moja ina dateline yake. Kuna mipango mahsus ya kuwezesha haya mambo,

1. Ugatuzi - Kwamba nchi ni kubwa hivyo serikali huenda isione ama kujua kila kona, nchi imeganywa kwa gatuzi 47. Gavana anauwezo wa kutatua maswala ya jimbo rahisi kuliko raisi mmoja,

2. CDF Projects, hizi ni projects zina fanywa chini ya mbunge akipewa pesa na Serikali kuu.

Kwa hivi vigezo viwili, Hospitali, zahanati, Shule, Barabara ndogo ndogo, Ujenzi wa polythenique upo kwenye ratiba ya hawa, Kwa sasa, ukipata shule haina viti na madarasa mazuri, hiyo itakuwa taarifa na utasikia mbunge na Gavana wakikemewa,

3.Rural Electrification, Kwenye Blueprint ya Rural electrification by 2018, kila shule itakuwa na stima, kila mtaa wa Kenya hadi Mandera utakuwa na stima, sahi wamefika 85%, ndio maana reli yetu si ya Umeme.

4. Laptop Project- huku mambo ya stima yakiendelea, Laptop project inaendelea, maana ni kwamba ifikapo 2020, kila mwanafunzi darasa la nane atakuwa akifanya mtihani kwenye tarakilishi, 2020 iwe kila mwanafunzi anatumia laptop na amekaa vizuri.

5. Free and easy movement. Every constituency inaunganishwa kwa nyingine kwa barabara nzuri ilibiashara viwe rahisi, kwa sasa kila constituency inamradi wa barabara.

6.Access to water, projects zinafanywa kila upande na wizara ya maji. hii ni kulingana na target kwamba kila Mkenya awe na maji ya mfereji ifikapo 2020.

Mimi nakupa barabara na kadhalika vitu vinavyoonekana, sio kwamba ni hivyo tu vipo

Ukiwa na wakati pitia hii President's Delivery Unit - Home
Umeongea kwa weledi sana!!
Raisi wetu yeye ameanza na laptop kwa walimu wa sekondari, Wanakaribia kutoa mikopo kwa vijana katika vijiji vyote nchini mikopo yenye masharti nafuu ambapo watatoa Tsh million 50 kwa kila kijiji

Mbali Ngapi hilo kuhusu umeme mradi wa tatu wa umeme vijijini unaendelea na kwa upande upande mji yote umeme upo kama kawaida na hakuna mgao

Barabara zinapitika zile muhimu kwa asilimia kubwa sana mpaka hivi sasa na zilizobaki wakandarasi wamelipwa nchi nzima kuendelea na ujenzi ili zikamilike kwa wakati

Serikali inapanua viwanja vya ndege vyote muhimu na vile vya mikoani sambamba na kununua ndege

Serikali inatoa fursa kwa wawekezaji kuwekeza katika viwanda na tayari investor zaidi ya 200 wameshaomba na kupata vibali kutoka mataifa mbalimbali

Huduma za afya changamoto za vifaa tiba na dawa pamoja na watumishi ndio imekua changamoto ya muda mrefu sana lakini wanajitahidi kwa kiwango pia japo bado hatujafkia malengo yetu kwa wakat....

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Dodoma hio ishaanza kuwika kazi zinaanza
FB_IMG_1494013825968.jpg
 
Mbona kina Ichoboy na tuusan? Hivi mambo ya miaka ijayo nani anajua vyema, mambo ni sasa, mkija tushinda na iwe hivyo, ila kwa sasa mkubali kwamba bado mpo nyuma zaidi ya inavyojulikana. Ni kheri mngeona aibu kutaja Kenya kwa sasa, Ije hiyo miaka 50 ama 10 mnayosema, mkitushinda, safi, tutajilaumu, kama bado tutakuwa tumewashinda, hilo si hoja, hilo ni kawaida.

mimi siwezi pinga ama kubali mambo ya usoni maana sijui kutazuka nini, hivi twaenda uchaguzi huenda Raila ashindwe azue vurugu ama Uhuruto washindwe wakatalie mamlakani kuzuke vurugu, uchumi wetu uharibike kama 2017.

Ila kwa sasa ubishi huu haufai, Nairobi ipo mbele sana zaidi ya Dar, mimi niliuliza ichoboy hakunijibu, itachukua miaka mingapi Bongo kuwa na vitu kama hivi? Mfano tu

Mtu awe realistic aniambie! Asiseme inajengwa, itajengwa kwa miaka mingapi??
C_DvydUWAAIV36w.jpg


C_DKOLmW0AIUe2e.jpg


18278301_737417983097595_4779642797726987144_o.jpg
kwa hyo ya juu kawaida bora useme wingi wa kama hizo ila soon tupo uko
014d6c8bb6ffe8e8fa7621fffeea86ac.jpg

Tanzania is far Away better than any EAC member!! For everything, usipagawe na jangwa
 
Elewa kwamba maendeleo sio bypass au flyover, Angalia Namibia,Botswana wanabypass?lakini wametuzidi mbali sana....

Wanjala maendeleo yaguse kila mwananchi sio kwa ajili2ya group flani la watu ,ungenikosha zaidi kama ungekita zaidi katika maisha ya wakenya walio wengi kupata huduma za kijamii kama vile wenzetu waliotutangulia wamefanya, uhakika wa chakula,maji safi,shule,elimu,miundombinu nk,

Kama nyie mnabypass sisi tumeopt watoto wamasikini wapate elimu bure na wakae kwenye madawati nani kafanya big move?

Kama sisi tumeopt kujenga maabara kila shule mpya za sekondari na kupeleka walimu wa science wakutosha nyie mnenunua laptop wakat watoto wanakaa chini na hata umeme mna sehemu haujafika nani anaendelea?

Wanjala siku mtayokuja kugundua kwamba yumewazidi itakua too late wewe pagawa na uwanja wa ndege na by pass
ha haaa safi ni fact
 
Iyo Itakua Poa...Although nyinyi kusema ni easy than kutenda
Usiwe na wasiwasi kabisa huu mwaka wataanza phase 1 ambayo itakua Dar -chalinze on 100 M kidogo hivi.

Kuna northen corridor kuanzia Arusha mpaka holili 4 lanes ujenzi unaendelea kwahyo wewe kaa mkao wa kula braza...

Ukishindwa kumiliki ndinga hutafaidi iyo mikeka

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
They knw 2020 hawamrudishi jamaa anafunga even his closest allies, dude is busy micromanaging the country with his bashite, investors are closing shop and money circulation is low
usijipe moyo usifkiri kikwete hatumikii taifa na bado yeye ndio anasafiri kwenda nje kuwamaliza nyinyi kwenye utalii na uwekezaji................majibu mutayapata na mushaanza kuyapata
 
usijipe moyo usifkiri kikwete hatumikii taifa na bado yeye ndio anasafiri kwenda nje kuwamaliza nyinyi kwenye utalii na uwekezaji................majibu mutayapata na mushaanza kuyapata
Thats the sound of a loser speaking, tupate ndio muongee
 
Umeongea kwa weledi sana!!
Raisi wetu yeye ameanza na laptop kwa walimu wa sekondari, Wanakaribia kutoa mikopo kwa vijana katika vijiji vyote nchini mikopo yenye masharti nafuu ambapo watatoa Tsh million 50 kwa kila kijiji

Mbali Ngapi hilo kuhusu umeme mradi wa tatu wa umeme vijijini unaendelea na kwa upande upande mji yote umeme upo kama kawaida na hakuna mgao

Barabara zinapitika zile muhimu kwa asilimia kubwa sana mpaka hivi sasa na zilizobaki wakandarasi wamelipwa nchi nzima kuendelea na ujenzi ili zikamilike kwa wakati

Serikali inapanua viwanja vya ndege vyote muhimu na vile vya mikoani sambamba na kununua ndege

Serikali inatoa fursa kwa wawekezaji kuwekeza katika viwanda na tayari investor zaidi ya 200 wameshaomba na kupata vibali kutoka mataifa mbalimbali

Huduma za afya changamoto za vifaa tiba na dawa pamoja na watumishi ndio imekua changamoto ya muda mrefu sana lakini wanajitahidi kwa kiwango pia japo bado hatujafkia malengo yetu kwa wakat....

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app

Tuusan, napenda sana kuona kwamba watu wameanza kujadili hapa mambo bila kuweka ushabiki.

Nchi inapounda miundo msingi raia wake hunufaika, mtu alisema hapa. Baabara mbaya maisha mabaya, sisi tumeamka kwa vifo vya wanafunzi 15 na walimu 4 kule Karatu mkoani Arusha, Mimi kama mwalimu nahusunika, ila hapa ukiangalia sio sana kosa la dereva, wala gari, barabara ndio mbovu, ingekuwa nzuri hawa watu wasingepoteza maisha, wangeenda kujenga uchumi, na wanafunzi baadae kuhitimu na kujenga nchi. Lakini ona sasa, Serikali lazima iwajibike
C_IiHblVoAAKmkm.jpg
 
Back
Top Bottom