Elewa kwamba maendeleo sio bypass au flyover, Angalia Namibia,Botswana wanabypass?lakini wametuzidi mbali sana....
Wanjala maendeleo yaguse kila mwananchi sio kwa ajili2ya group flani la watu ,ungenikosha zaidi kama ungekita zaidi katika maisha ya wakenya walio wengi kupata huduma za kijamii kama vile wenzetu waliotutangulia wamefanya, uhakika wa chakula,maji safi,shule,elimu,miundombinu nk,
Kama nyie mnabypass sisi tumeopt watoto wamasikini wapate elimu bure na wakae kwenye madawati nani kafanya big move?
Kama sisi tumeopt kujenga maabara kila shule mpya za sekondari na kupeleka walimu wa science wakutosha nyie mnenunua laptop wakat watoto wanakaa chini na hata umeme mna sehemu haujafika nani anaendelea?
Wanjala siku mtayokuja kugundua kwamba yumewazidi itakua too late wewe pagawa na uwanja wa ndege na by pass
Tuusan, nadhani hapo unawazo, ila ntakukosoa kidogo, hivi vitu vyote unaona vikifanyika Kenya vimewekwa kwenye blueprint ya Vision 2030, na kila moja ina dateline yake. Kuna mipango mahsus ya kuwezesha haya mambo,
1. Ugatuzi - Kwamba nchi ni kubwa hivyo serikali huenda isione ama kujua kila kona, nchi imeganywa kwa gatuzi 47. Gavana anauwezo wa kutatua maswala ya jimbo rahisi kuliko raisi mmoja,
2. CDF Projects, hizi ni projects zina fanywa chini ya mbunge akipewa pesa na Serikali kuu.
Kwa hivi vigezo viwili, Hospitali, zahanati, Shule, Barabara ndogo ndogo, Ujenzi wa polythenique upo kwenye ratiba ya hawa, Kwa sasa, ukipata shule haina viti na madarasa mazuri, hiyo itakuwa taarifa na utasikia mbunge na Gavana wakikemewa,
3.Rural Electrification, Kwenye Blueprint ya Rural electrification by 2018, kila shule itakuwa na stima, kila mtaa wa Kenya hadi Mandera utakuwa na stima, sahi wamefika 85%, ndio maana reli yetu si ya Umeme.
4. Laptop Project- huku mambo ya stima yakiendelea, Laptop project inaendelea, maana ni kwamba ifikapo 2020, kila mwanafunzi darasa la nane atakuwa akifanya mtihani kwenye tarakilishi, 2020 iwe kila mwanafunzi anatumia laptop na amekaa vizuri.
5. Free and easy movement. Every constituency inaunganishwa kwa nyingine kwa barabara nzuri ilibiashara viwe rahisi, kwa sasa kila constituency inamradi wa barabara.
6.Access to water, projects zinafanywa kila upande na wizara ya maji. hii ni kulingana na target kwamba kila Mkenya awe na maji ya mfereji ifikapo 2020.
Mimi nakupa barabara na kadhalika vitu vinavyoonekana, sio kwamba ni hivyo tu vipo
Ukiwa na wakati pitia hii
President's Delivery Unit - Home