Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwamba tutakua tunawangoja?
Mbele kwa mbele tu hakuna kurudi nyuma
Ikifika ni tourism kenya is world known ukianzia na the legendary maasai mara to the beautiful diani beaches to the thousands of lake nakuru flamingos......insecurity tu ndo imechangia pakubwa kurudi chini kwa our tourism sector..saa hii lot is being done unimprove the sector and positive signs are showing
 
Tanzania will never compete kenya......Kenya iko level ingine...Lapset ikiisha the northern kenya(desert) itaanza kuonekana....Turkana pia na Oil itadevelop sai nusu ya kenya(southern,western na coast ) zinatoa about 90% gdp...Northern kenya ikianza kuflow vizuri mtajua kenya vizuri
 
Ikifika ni tourism kenya is world known ukianzia na the legendary maasai mara to the beautiful diani beaches to the thousands of lake nakuru flamingos......insecurity tu ndo imechangia pakubwa kurudi chini kwa our tourism sector..saa hii lot is being done unimprove the sector and positive signs are showing
Embu jionee aibu basi muda mwingne, mbona unaongea kama umekatwa kichwa?sasa sisi tulio na mlima klm, ngorongoro,tarangire,mikumi,selou,sadani,manyara,katavi,tusemeje?

Kwa uhalisia nyie mmetuzidi jangwa tu and nothing more!!
 
Tanzania will never compete kenya......Kenya iko level ingine...Lapset ikiisha the northern kenya(desert) itaanza kuonekana....Turkana pia na Oil itadevelop sai nusu ya kenya(southern,western na coast ) zinatoa about 90% gdp...Northern kenya ikianza kuflow vizuri mtajua kenya vizuri
Tanzania is far Away better than any EAC member!! For everything, usipagawe na jangwa
 
Embu jionee aibu basi muda mwingne, mbona unaongea kama umekatwa kichwa?sasa sisi tulio na mlima klm, ngorongoro,tarangire,mikumi,selou,sadani,manyara,katavi,tusemeje?

Kwa uhalisia nyie mmetuzidi jangwa tu and nothing more!!
Bila kusahau SERENGETI & ZANZIBAR
 
Embu jionee aibu basi muda mwingne, mbona unaongea kama umekatwa kichwa?sasa sisi tulio na mlima klm, ngorongoro,tarangire,mikumi,selou,sadani,manyara,katavi,tusemeje?

Kwa uhalisia nyie mmetuzidi jangwa tu and nothing more!!
Hamjulikani....wazungu wengi think Kilimanjaro ipo kenya,kiswahili kinazungumzwa kenya,wildebeest migration ipo kenya..unadhania nini sababu
 
Hamjulikani....wazungu wengi think Kilimanjaro ipo kenya,kiswahili kinazungumzwa kenya,wildebeest migration ipo kenya..unadhania nini sababu
Kama tunapata fedha inatosha nyie mjulikane ambao ni matapeli Hamna lolote
 
Mbona kina Ichoboy na tuusan? Hivi mambo ya miaka ijayo nani anajua vyema, mambo ni sasa, mkija tushinda na iwe hivyo, ila kwa sasa mkubali kwamba bado mpo nyuma zaidi ya inavyojulikana. Ni kheri mngeona aibu kutaja Kenya kwa sasa, Ije hiyo miaka 50 ama 10 mnayosema, mkitushinda, safi, tutajilaumu, kama bado tutakuwa tumewashinda, hilo si hoja, hilo ni kawaida.

mimi siwezi pinga ama kubali mambo ya usoni maana sijui kutazuka nini, hivi twaenda uchaguzi huenda Raila ashindwe azue vurugu ama Uhuruto washindwe wakatalie mamlakani kuzuke vurugu, uchumi wetu uharibike kama 2017.

Ila kwa sasa ubishi huu haufai, Nairobi ipo mbele sana zaidi ya Dar, mimi niliuliza ichoboy hakunijibu, itachukua miaka mingapi Bongo kuwa na vitu kama hivi? Mfano tu

Mtu awe realistic aniambie! Asiseme inajengwa, itajengwa kwa miaka mingapi??
C_DvydUWAAIV36w.jpg


C_DKOLmW0AIUe2e.jpg


18278301_737417983097595_4779642797726987144_o.jpg
 
Hamjulikani....wazungu wengi think Kilimanjaro ipo kenya,kiswahili kinazungumzwa kenya,wildebeest migration ipo kenya..unadhania nini sababu
Sasa unajifagilio kwa kitu kisichokuhusu watu wengne bhan cjui wamezaliw muda kipnd gan unasema wazungu wanaju hvyo ila ww unajua vp na kitu kengne tanzania inajengwa na watanzania hatujakuta masalia ya magorofa sie tumewekeza wenyew hebu sasa hvi kagoogle kitu kinaitw singita grumer nadhan ndo utafunga mdomo wako maan huijui tz weyeeee
 
This is Southern Bypass. Now another bigger one is coming. As we speak a new contract has been signed to officially start construction of Western Bypass. Nairobi is always on the move, two years is enough.
C_DvybKXkAIRfKK.jpg


Signing was done today, NEMA Approval last month, now it is about time it starts rolling, After thika road, Eastern Bypass, then Southern Bypass, then Outering Road, Then Ngong Road, Then Upperhill phase two, now Western Bypass. Nairobi is literally moving, all this in 3 years!!
C_DKgXqXoAAY8Bp.jpg


C_DKgXgXgAA7S-d.jpg
 
naogopa mwili wako kutumia vibaya maana si jambo lenye staha machoni pa jamii kwa mtoto wa kike kuhudumia wanaume wawili mashababi kwa wakati mmoja.

kwa sasa malizana kwanza na mdogo wangu ichoboy01 .baada ya hapo uje kwangu.

najua kwamba wewe ni mbobevu wa lugha ya kingereza kushinda member wote wa jf,ila hapo kwenye "what are you so afraid of" sidhani kama kulikuwa na ulazima wa kuweka "so" kati ya you na afraid.ilitosha tu kusema "what are you afraid of".
Kosa la "uchapishaji" but thanks for pointing out. "What are you soo afraid of?" Hapo vp?!
 
Tanzania will never compete kenya......Kenya iko level ingine...Lapset ikiisha the northern kenya(desert) itaanza kuonekana....Turkana pia na Oil itadevelop sai nusu ya kenya(southern,western na coast ) zinatoa about 90% gdp...Northern kenya ikianza kuflow vizuri mtajua kenya vizuri
Mawazo yako bado mafupi au unafkiri oil hakuna Tanzania tumeanza na natural gas with reserve of over 444 trillion cubic feet, alaf tutakuja oil na madini mengine......Tanzania utaifahamu tu
 
Mbona kina Ichoboy na tuusan? Hivi mambo ya miaka ijayo nani anajua vyema, mambo ni sasa, mkija tushinda na iwe hivyo, ila kwa sasa mkubali kwamba bado mpo nyuma zaidi ya inavyojulikana. Ni kheri mngeona aibu kutaja Kenya kwa sasa, Ije hiyo miaka 50 ama 10 mnayosema, mkitushinda, safi, tutajilaumu, kama bado tutakuwa tumewashinda, hilo si hoja, hilo ni kawaida.

mimi siwezi pinga ama kubali mambo ya usoni maana sijui kutazuka nini, hivi twaenda uchaguzi huenda Raila ashindwe azue vurugu ama Uhuruto washindwe wakatalie mamlakani kuzuke vurugu, uchumi wetu uharibike kama 2017.

Ila kwa sasa ubishi huu haufai, Nairobi ipo mbele sana zaidi ya Dar, mimi niliuliza ichoboy hakunijibu, itachukua miaka mingapi Bongo kuwa na vitu kama hivi? Mfano tu

Mtu awe realistic aniambie! Asiseme inajengwa, itajengwa kwa miaka mingapi??
C_DvydUWAAIV36w.jpg


C_DKOLmW0AIUe2e.jpg


18278301_737417983097595_4779642797726987144_o.jpg
Elewa kwamba maendeleo sio bypass au flyover, Angalia Namibia,Botswana wanabypass?lakini wametuzidi mbali sana....

Wanjala maendeleo yaguse kila mwananchi sio kwa ajili2ya group flani la watu ,ungenikosha zaidi kama ungekita zaidi katika maisha ya wakenya walio wengi kupata huduma za kijamii kama vile wenzetu waliotutangulia wamefanya, uhakika wa chakula,maji safi,shule,elimu,miundombinu nk,

Kama nyie mnabypass sisi tumeopt watoto wamasikini wapate elimu bure na wakae kwenye madawati nani kafanya big move?

Kama sisi tumeopt kujenga maabara kila shule mpya za sekondari na kupeleka walimu wa science wakutosha nyie mnenunua laptop wakat watoto wanakaa chini na hata umeme mna sehemu haujafika nani anaendelea?

Wanjala siku mtayokuja kugundua kwamba yumewazidi itakua too late wewe pagawa na uwanja wa ndege na by pass
 
Ikifika ni tourism kenya is world known ukianzia na the legendary maasai mara to the beautiful diani beaches to the thousands of lake nakuru flamingos......insecurity tu ndo imechangia pakubwa kurudi chini kwa our tourism sector..saa hii lot is being done unimprove the sector and positive signs are showing
Wat about 7 natural wonders of Africa ,kenya inajulikana kwa lipi Tanzania imechukua tuzo tatu out 7, Serengeti,Kilimanjaro na ngorongoro.....wat about kenya??????
 
Back
Top Bottom